somijo
Senior Member
- Apr 14, 2012
- 110
- 47
Inasikitisha sana kwa chama tawala kuendelea na mpango wao wa kuvuruga amani ya nchi hii hali watu bado tunataka aman ambayo ililetwa na wazawa na wazalendo wa taifa letu. Ivi hii kauli ya vijana, wanawake na wazeee wa ccm tena kwa maandamano kutangaza kuwa CDM inataka kuigawa kanda ya ziwa na kaskazini wameitoa wapi? na kwa kiongozi gan?(msemaji wa chama). bado tuna donda linalotuuma la ufisadi wa viongozi wa hicho chama, kana kwamba haitoshi wanamwaga sumu kwa wananchi kuwa chama chenye kuleta ukombozi CDM eti kinataka kuigawa nchi, huuu si uchochezi huuu!!!!!!!!!CCM mnatupeleka wapiii?????