Imenishangaza sana; ngoja Lumumba waje waitolee ufafanuzi.Bashiru naona kaamua kupiga mstari wa udikteta. Fomu ya kugombea ni moja na anayegombea anaenda kuomba uongozi kwenye vyombo vya dola.
View attachment 1484463
Anataka kuwa Amiri jeshi mkuu.Imenishangaza sana, ngoja lumumba waje waitolee ufafanuzi
.........to zero!Sahihi,
Nafasi inayoombwa sio ya Uongozi katika Chama , bali uongozi wa Vyombo vyenye mamlaka ya Dola.
maneno tofauti maana ni ile ile.........to zero!View attachment 1484543View attachment 1484544
Hivi CCM kwanini mnakuwa wapumbvu kiasi hiki.
Imenishangaza sana...ngoja lumumba waje waitolee ufafanuzi
Inawezekana aliyeandaa hiyo fomu ni mwanajeshi. Alafu inakuaje fomu inaandaliwa na maneno pia hawajahakiki? Uku ni kukosa umakini ndiyo maana baadhi ya mikataba ilisainiwa hotelini.
Anataka kuwa Amiri jeshi mkuu.