Habari wana JF,
Leo numepita mitaa kadhaa ya jimbo la ukonga, nikashanga kukuta magreda yakifukia mashimo na makorongo barabarani hadi usiku.
Nikauliza kulukoni mbona miaka na miaka wananchi wa huku wanapita kwenye haya mabonde! Imekuwaje leo vifusi vijazwe?
Nikaambiwa mgombea wa CCM Magufuli atakuwa huku kwa ajili ya kampeni.
Swali: Mpiga kura ana thamani gani?
Swali2: Kwa nn hawakurekebishia wananchi siku zote hizo?
Swali3: Tukisema CCM wanajijali wenyewe na ni wabinafsi, tutakuwa tunakosea?
Nisaidieni kujibu hayo.
Leo numepita mitaa kadhaa ya jimbo la ukonga, nikashanga kukuta magreda yakifukia mashimo na makorongo barabarani hadi usiku.
Nikauliza kulukoni mbona miaka na miaka wananchi wa huku wanapita kwenye haya mabonde! Imekuwaje leo vifusi vijazwe?
Nikaambiwa mgombea wa CCM Magufuli atakuwa huku kwa ajili ya kampeni.
Swali: Mpiga kura ana thamani gani?
Swali2: Kwa nn hawakurekebishia wananchi siku zote hizo?
Swali3: Tukisema CCM wanajijali wenyewe na ni wabinafsi, tutakuwa tunakosea?
Nisaidieni kujibu hayo.