kivyako
JF-Expert Member
- Feb 2, 2012
- 14,341
- 12,045
Unaweza ukawa umemsaidia kumjua baba yakeHuyu Mtutsi hajui watu wa Mbeya..au anajitekenya na kujichekesha
Unaweza ukawa umemsaidia kumjua baba yakeHuyu Mtutsi hajui watu wa Mbeya..au anajitekenya na kujichekesha
mchezo wa maneno..
Siasa mchezo wa maneno..
Juzi tu hapa wamemzuia Sugu kufanya mkutano alafu anaongea huo ugora!!
Kama alivyokalia mamayako.Sugu anaruhusiwa kufanya jimboni kwake. Lamsingi atoe taarifa tu.
Wenzao wanatoa nyie mnakalia ugalalizi.
Amemjibu ndugu, amesema: "Kama Bashiru anasema nikae mkao wa kula basi yeye akae mkao wa kuchamba" mwisho wa kunukuu.Unafikiri Sugu atajibu huu uharo?
Uwanja wa siasa za majukwaan upo kwa Ccm tu.
soon polis watamfuataJibu moja safi sana!
Kumbe huyu mhutu naye mpumbavu tu.
Katibu Mkuu wa CCM, Dkt. Bashiru Ally amemtumia salamu Mbunge wa Mbeya Mjini, Joseph Mbilinyi (Sugu) kuwa akae mkao wa kula katika Jimbo analoliongoza.
Dkt. Bashiru kuelekea uchaguzi Mkuu amesema hakuna uchawi, wizi, kupendelea huku akiwataka waache visingizio wachape kazi.
"Bwana Sugu kaa mkao wa kula nakuja kwako hakuna uchawi kuna kazi, hakuna sijui wizi sijui kupendelewa acheni visingizio," alisema Dkt, Bashiri akiwa Dodoma.
"Chapa kazi ya siasa mpate dawa yenyewe iingie mpone hiyo ndio CCM mpya lakini ni vizuri tukahamasisha Watanzania wengi kushiriki katika uchaguzi ikiwezekana wote wenye umri wa kupiga kura."
Wapumbavu nyie mnaotegemea jopo la wachawi 900.tumetoka kwa Mbowe , tupo kwa Sugu vituo vinavyofuata vinafahamika ,ni kuchukua majimbo yote
Mnafiki tu huyo bashiru
Katibu Mkuu wa CCM, Dkt. Bashiru Ally amemtumia salamu Mbunge wa Mbeya Mjini, Joseph Mbilinyi (Sugu) kuwa akae mkao wa kula katika Jimbo analoliongoza.
Dkt. Bashiru kuelekea uchaguzi Mkuu amesema hakuna uchawi, wizi, kupendelea huku akiwataka waache visingizio wachape kazi.
"Bwana Sugu kaa mkao wa kula nakuja kwako hakuna uchawi kuna kazi, hakuna sijui wizi sijui kupendelewa acheni visingizio," alisema Dkt, Bashiri akiwa Dodoma.
"Chapa kazi ya siasa mpate dawa yenyewe iingie mpone hiyo ndio CCM mpya lakini ni vizuri tukahamasisha Watanzania wengi kushiriki katika uchaguzi ikiwezekana wote wenye umri wa kupiga kura."
Anasema huku anaendelea na mikutano na vikao wakati upinzani wanazuiliwa ishiiiii sijui yukoje?
Sugu anaruhusiwa kufanya jimboni kwake. Lamsingi atoe taarifa tu.
Wenzao wanatoa nyie mnakalia ugalalizi.
Mtaingiaaa kwenye reli tutumetoka kwa Mbowe , tupo kwa Sugu vituo vinavyofuata vinafahamika ,ni kuchukua majimbo yote
Mnabebwa na tume tu nyietumetoka kwa Mbowe , tupo kwa Sugu vituo vinavyofuata vinafahamika ,ni kuchukua majimbo yote