Kibo10
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 11,277
- 8,837
Kuna dhambi CCM wanatenda mchana kweupe kwa kulaghai wana Kinondoni na Siha, eti mkichagua upinzani hamtapata maendeleo, mkichagua mbunge wa upinzani serekali haitapeleka maendeleo kwenye majimbo ya wapinzani.
Kisingizio chao ni kuwa mbuge wa CCM anaweza kuwasiliana na rais kirahisi.
Niwakumbushe tu wana Kinondoni na Siha.
Jimbo la kinondoni limekuwa chini ya CCM kwa miaka 15 kipi cha tofauti walileta ukilinganisha na jimbo la kawe lililoko chini ya CHADEMA kwa miaka 10tu?"Ujiongeze"
Pili mwana kinondoni na Siha, Ebu linganisha maendeleo ya majimbo yaliyoongozwa na upinzani nchini ya yale yalio chini ya CCM toka uhuru.Yapi yameendelea? Jibu unalo. Ni ya upinzani."Jiongeze"
Watu wa siha, Mwanri kaongoza siha kwa miaka 15 Freeman kaongoza hai kwa miaka kumi. Jimbo lipi limeendelea? Jiongezeni"
CCM ni chama mfu na waongo mpaka Mungu hawapendi, wameishiwa maarifa na mbinu. Wamebaki na siasa za vitisho na ubanguzi. Msikubali kudanganywa Siha na Kinondoni, nyie ni watoto wa mjini.
Wakadanganye Chato, Mtera na majimbo mengine yanayofanana na hayo. Kataeni kuwa daraja la wasaliti na wafuja kodi.
Chagueni CHADEMA muwape ujumbe kuwa nyie si mandezi.Wakataeni wapunguze kiburi cha ibilisi.
Mungu awabariki wana Kinondoni na Siha!
Kisingizio chao ni kuwa mbuge wa CCM anaweza kuwasiliana na rais kirahisi.
Niwakumbushe tu wana Kinondoni na Siha.
Jimbo la kinondoni limekuwa chini ya CCM kwa miaka 15 kipi cha tofauti walileta ukilinganisha na jimbo la kawe lililoko chini ya CHADEMA kwa miaka 10tu?"Ujiongeze"
Pili mwana kinondoni na Siha, Ebu linganisha maendeleo ya majimbo yaliyoongozwa na upinzani nchini ya yale yalio chini ya CCM toka uhuru.Yapi yameendelea? Jibu unalo. Ni ya upinzani."Jiongeze"
Watu wa siha, Mwanri kaongoza siha kwa miaka 15 Freeman kaongoza hai kwa miaka kumi. Jimbo lipi limeendelea? Jiongezeni"
CCM ni chama mfu na waongo mpaka Mungu hawapendi, wameishiwa maarifa na mbinu. Wamebaki na siasa za vitisho na ubanguzi. Msikubali kudanganywa Siha na Kinondoni, nyie ni watoto wa mjini.
Wakadanganye Chato, Mtera na majimbo mengine yanayofanana na hayo. Kataeni kuwa daraja la wasaliti na wafuja kodi.
Chagueni CHADEMA muwape ujumbe kuwa nyie si mandezi.Wakataeni wapunguze kiburi cha ibilisi.
Mungu awabariki wana Kinondoni na Siha!