CCM wameongoza Kinondoni na Siha kwa miaka 15. Ipi tofauti ya Kinondoni, Kawe, Siha na Hai?

Kibo10

JF-Expert Member
Aug 20, 2013
11,277
8,837
Kuna dhambi CCM wanatenda mchana kweupe kwa kulaghai wana Kinondoni na Siha, eti mkichagua upinzani hamtapata maendeleo, mkichagua mbunge wa upinzani serekali haitapeleka maendeleo kwenye majimbo ya wapinzani.

Kisingizio chao ni kuwa mbuge wa CCM anaweza kuwasiliana na rais kirahisi.
Niwakumbushe tu wana Kinondoni na Siha.

Jimbo la kinondoni limekuwa chini ya CCM kwa miaka 15 kipi cha tofauti walileta ukilinganisha na jimbo la kawe lililoko chini ya CHADEMA kwa miaka 10tu?"Ujiongeze"

Pili mwana kinondoni na Siha, Ebu linganisha maendeleo ya majimbo yaliyoongozwa na upinzani nchini ya yale yalio chini ya CCM toka uhuru.Yapi yameendelea? Jibu unalo. Ni ya upinzani."Jiongeze"

Watu wa siha, Mwanri kaongoza siha kwa miaka 15 Freeman kaongoza hai kwa miaka kumi. Jimbo lipi limeendelea? Jiongezeni"

CCM ni chama mfu na waongo mpaka Mungu hawapendi, wameishiwa maarifa na mbinu. Wamebaki na siasa za vitisho na ubanguzi. Msikubali kudanganywa Siha na Kinondoni, nyie ni watoto wa mjini.

Wakadanganye Chato, Mtera na majimbo mengine yanayofanana na hayo. Kataeni kuwa daraja la wasaliti na wafuja kodi.

Chagueni CHADEMA muwape ujumbe kuwa nyie si mandezi.Wakataeni wapunguze kiburi cha ibilisi.

Mungu awabariki wana Kinondoni na Siha!
 
Ni wizi wa kura tu utakaoupokonya ushindi Chadema Kinondoni na Siha. CCM imechokwa mno wa wananchi. Mbaya zaidi, wamechukua makapi ya upinzani kuwasimamisha kugombea majimbo hayohayo. Hii imezua hasira, chuki na uhasama ndani ya CCM yenyewe . Yote yatalipuka kwenye uchaguzi kwa kuwasusa haya makapi.
 
Ni wizi wa kura tu utakaoupokonya ushindi Chadema Kinondoni na Siha. CCM imechokwa mno wa wananchi. Mbaya zaidi, wamechukua makapi ya upinzani kuwasimamisha kugombea majimbo hayohayo. Hii imezua hasira, chuki na uhasama ndani ya CCM yenyewe . Yote yatalipuka kwenye uchaguzi kwa kuwasusa haya makapi.

Wakirudi iwe kwa wizi au halali,Watadharau sana wananchi,Tutalia na kusaga meno,Ukizoea kula nyama ya mtu ni gumu sana kuiacha
 
Kuna dhambi CCM wanatenda mchana kweupe kwa kulaghai wana Kinondoni na Siha, eti mkichagua upinzani hamtapata maendeleo, mkichagua mbunge wa upinzani serekali haitapeleka maendeleo kwenye majimbo ya wapinzani.

Kisingizio chao ni kuwa mbuge wa CCM anaweza kuwasiliana na rais kirahisi.
Niwakumbushe tu wana Kinondoni na Siha.

Jimbo la kinondoni limekuwa chini ya CCM kwa miaka 15 kipi cha tofauti walileta ukilinganisha na jimbo la kawe lililoko chini ya CHADEMA kwa miaka 10tu?"Ujiongeze"

Pili mwana kinondoni na Siha, Ebu linganisha maendeleo ya majimbo yaliyoongozwa na upinzani nchini ya yale yalio chini ya CCM toka uhuru.Yapi yameendelea? Jibu unalo. Ni ya upinzani."Jiongeze"

Watu wa siha, Mwanri kaongoza siha kwa miaka 15 Freeman kaongoza hai kwa miaka kumi. Jimbo lipi limeendelea? Jiongezeni"

CCM ni chama mfu na waongo mpaka Mungu hawapendi, wameishiwa maarifa na mbinu. Wamebaki na siasa za vitisho na ubanguzi. Msikubali kudanganywa Siha na Kinondoni, nyie ni watoto wa mjini.

Wakadanganye Chato, Mtera na majimbo mengine yanayofanana na hayo. Kataeni kuwa daraja la wasaliti na wafuja kodi.

Chagueni CHADEMA muwape ujumbe kuwa nyie si mandezi.Wakataeni wapunguze kiburi cha ibilisi.

Mungu awabariki wana Kinondoni na Siha!

Swali rahisi. Moshi na Arusha ziliendelezwa na Serkali miaka ya 70 na 80 kwa upendeleo wa kikabila wakati mawaziri wakuu na watendaji serkalini wote walikuwa watu wa huko. Maendeleo yameletwa na serkali ya TANU na CCM lakini kwa upendeleo. Wala msijaribu kulinganisha, hata Waziri Mkuu Majaliwa kwao hakuna lami na Rais Magufuli kwao hakuna airport wakati Moshi utakutwa simu na umeme hadi mlimani. Wasomi wote walikuwa ni wao kwa upendeleo huo huo. Ukienda CRDB na TRA utakuta kote wamejaa wao tu. Mambo ya ukabila tafadhali msiyaingize hapa, maendeleo ya Moshi hayakuletwa na CHADEMA
 
Swali rahisi. Moshi na Arusha ziliendelezwa na Serkali miaka ya 70 na 80 kwa upendeleo wa kikabila wakati mawaziri wakuu na watendaji serkalini wote walikuwa watu wa huko. Maendeleo yameletwa na serkali ya TANU na CCM lakini kwa upendeleo. Wala msijaribu kulinganisha, hata Waziri Mkuu Majaliwa kwao hakuna lami na Rais Magufuli kwao hakuna airport wakati Moshi utakutwa simu na umeme hadi mlimani. Wasomi wote walikuwa ni wao kwa upendeleo huo huo. Ukienda CRDB na TRA utakuta kote wamejaa wao tu. Mambo ya ukabila tafadhali msiyaingize hapa, maendeleo ya Moshi hayakuletwa na CHADEMA
Nani alizuia msisome.miaka ya 70 waziri mkuu alitoka Moshi?umefirisika kisiasa kuhusisha ukabila na maendeleo.hata ukienda miji ya kanda ya ziwa kati ya matajiri 10 3hadi 5 utakuta wana asili ya kaskazini au Asia na uarabuni nao utasema walibebwa.
 
Back
Top Bottom