talnam
JF-Expert Member
- Nov 13, 2014
- 1,397
- 2,792
Huwezi kuona kilichotokea kwakua huna kichwa cha kufikiri...unafikiri kwa kutumia tumbo
Haya MAGUFULI FOR CHANGE. Hahahah
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huwezi kuona kilichotokea kwakua huna kichwa cha kufikiri...unafikiri kwa kutumia tumbo
Kwani matumizi ya nembo hii yameidhinishwa na ccm Rasmi ama ni Kazi za vijana wa mtandaoni?
Kuna kesi ambayo Serikali ya CCM iliwahi Kushinda? yaani kuanzia kwenye Halmashauri za Wilaya na Taifa.
1. Sakata la EPA imeshindwa na watuhumiwa kuachiwa
2. Madawa ya kulevya kesi zote kubwa imeshindwa na watuhumiwa kuachiwa
3. Samaki wa Magufuli taifa limeshindwa na tunalipa Billion zisizopungua 3.6
4. Ugaidi wa Lwakatare imeshindwa
5. Wakandarasi wa Barabara wameshinda na wanatakiwa kulipwa mabillion ya fedha kama riba kwa kutolipwa kwa muda stahili fedha zao.
6. Prof. mahalu na kesi ya jengo la ubalozi kule Italy Mahalu aliishinda Serikali
Na zingine nyingi tu, hivyo Serikali ya CCM haina ubavu wa kushinda kesi yeyote labda Mahakama zitoe hukumu za huruma.
Sawa nyumbu wa low hasa mfuasi wa demo paparasia na mawenge leo...ha ha haaa!
hivi kwa nn hamtaki huyo zezeta wenu aende kwa mdahalo mwenyewe, ni bubu???
Hahahaha! Mchakato Majimboni wa mwaka 2005, maCCM mlitia mpira kwapani. hata sasa hamkawii kutia mpira kwapani nyie mazuzu.
Mkubwa Huyo siku zote hoja hana. Tunangojea atujibu kuhusu Viwanda alivyouza, majengo TTCL, Kagoda/Kiwira, TANESCO/Net Group Solutions. Anadhani ataweza kujihami kwa matusi/ukali.
Mkuu, ninachofahamu mimi, haya yote yatafanya kazi kama Logo hiyo ya M4C ilisajiliwa! Kama Chadema walianzisha logo hiyo, wakaifanyia kazi kimazoea bila kuisajili sidhani kama itakua na nguvu yoyote katika sheria zinazohusu interlectua property
Je, Magufuli For Change ni Logo rasmi ya CCM kwa sasa au imezaliwa mtandaoni !? Kama imezuka huko Mitandaoni Chadema itamshitaki nani?
Binafsi naona tufanye kampeni. Muda ubebaki mchache, tuachane na kombolela
Mkuu, ninachofahamu mimi, haya yote yatafanya kazi kama Logo hiyo ya M4C ilisajiliwa! Kama Chadema walianzisha logo hiyo, wakaifanyia kazi kimazoea bila kuisajili sidhani kama itakua na nguvu yoyote katika sheria zinazohusu interlectua property
Je, Magufuli For Change ni Logo rasmi ya CCM kwa sasa au imezaliwa mtandaoni !? Kama imezuka huko Mitandaoni Chadema itamshitaki nani?
Binafsi naona tufanye kampeni. Muda ubebaki mchache, tuachane na kombolela
very constructive advice!
Alhaji BulemboHivi mshauri mkuu wa Dr.Pombe ni nani? Maana kadri siku zinavyoennda anaelekea kufanana na comedy ya StaRTV!
Good analysis. CCM ought to apologize and abandon the use of M4C with immediate effect.
Hii ni kweli bila ya shaka; hawakuwa na sababu ya kufanya haya yote kwani inaonesha wako desperate. Hivi ni kweli katika ujumla wao wote hakuna mtu mwenye uwezo wa kubuni kitu kama hicho (kufanana siyo kubaya - ni form of flattery) lakini kuigizia kabisa kwa kweli inapasa mtu aombe radhi hasa kama ni alama ambayo imetumiwa rasmi na kampeni ya mgombea wao.
Hii ni kweli bila ya shaka; hawakuwa na sababu ya kufanya haya yote kwani inaonesha wako desperate. Hivi ni kweli katika ujumla wao wote hakuna mtu mwenye uwezo wa kubuni kitu kama hicho (kufanana siyo kubaya - ni form of flattery) lakini kuigizia kabisa kwa kweli inapasa mtu aombe radhi hasa kama ni alama ambayo imetumiwa rasmi na kampeni ya mgombea wao.
alhaji bulembo