Wakudadavuwa
JF-Expert Member
- Feb 17, 2016
- 17,506
- 15,997
- Thread starter
- #21
Kumbuka waliojiandikisha ni wengi, kakusanya kura za vyama vinne ni lazima atoe 'ushindani' japo ni hadaa.From opposition presidential candidate year 2015 ni nani aliwahi kupata kura nyingi kama alizopta EL? Kwa taarifa kura hizo zilikuwa mtaji wa kupata ruzuku zaidi ya kukuza chama.
Siasa ni kumbu kumbu vile vile.