Hii dhambi inawahusu wanabadiliko!
CCM wamechakuliwa maoni yao kwenye rasimu ya katiba mpya, hawakuamini kabisa kilichotokea kwenye hii rasimu, bila shaka wanahisi wamechakachuliwa maoni yao maana mapendekezo ya wapinzani karibu yote ila sio yote yamekuwepo kwenye rasimu, ila mapendekezo ya CCM karibu yote kwa ujumla yametupwa kama ndomco iliyotumika!
Habari ndio hio hutaki jikatae!
CCM wamechakuliwa maoni yao kwenye rasimu ya katiba mpya, hawakuamini kabisa kilichotokea kwenye hii rasimu, bila shaka wanahisi wamechakachuliwa maoni yao maana mapendekezo ya wapinzani karibu yote ila sio yote yamekuwepo kwenye rasimu, ila mapendekezo ya CCM karibu yote kwa ujumla yametupwa kama ndomco iliyotumika!
Habari ndio hio hutaki jikatae!