Msamiati
R I P
- Mar 6, 2011
- 1,063
- 697
Juzi jamaa yangu mmoja aliniambia kuwa Alikutana na kikundi cha wazee kama watatu hivi wakiwa na makaratasi ya kupigia kura wanapigisha watu na wengine wanawapa hela kati ya 3000 na 5000. Mimi sikumuamini kabisa maneno yake lakini kilichotokea jana mpaka sasa sielewi.
Nimewaona wazee wa CCM walikua 6, Wawili nawafahamu kabisha ni watu maarufu sana kwenye maeneo yetu, walikuwa pamoja na mgombea wa nafasi ya mwenye kiti, walichokuwa wanafanya walikuwa wanaingia kwenye nyumba za wajumbe wa nyumba kumi, kisha wajumbe wana waita baadhi ya wakazi halafu wanawapigisha kura.
Mimi nilikuwa nimekaa pembeni kidogo kwenye kiduka, karibu kabisa na nyumba ya mjumbe wa nyumba kumi, wakafika eneo hilo na kuendeleza hako kamchezo, Mmoja woa ambaye ni mtu maarufu sana anaitwa hamisi akawa anazuga kana kwamba anabandika vitangazo vya kampeni. Akanisalimia na kubandika hicho kitangazo.
Baada ya hapo, nikajaribu kufatilia movement zao nikaona wanaingia kwenye nyumba za wajumbe wa nyumba kumi, kisha kilichokuwa kinafanyika, wajumbe wanawaitia watu ambao wanajua hawana misimamo mikali.
Warning: Uchaguzi wa mwaka huu una Joto kubwa sana, utakuwa tofauti na chaguzi za miaka yote, uhuni wa aina hii si uungwana kabisa, unaweza kuleta machafuko yasiyokuwa ya lazima. Naomba Wanaharakati mlifatilie hili ili lisije likageuza nchi yetu kuwa kisiwa cha umwagaji Damu.
Kwa yoyote atakae hitaji msaada wa kufatilia mimi namjua moja ya wajumbe waliofanyishwa mchezo huu kwa malipo ya tsh 10,000. Lakini huwa hakubaliani kabisa na Ufedhuri huu, naweza kuwaunganisha nae akawapa siri zote.
CC: Lucci Dotto Mnzava figganigga
Nimewaona wazee wa CCM walikua 6, Wawili nawafahamu kabisha ni watu maarufu sana kwenye maeneo yetu, walikuwa pamoja na mgombea wa nafasi ya mwenye kiti, walichokuwa wanafanya walikuwa wanaingia kwenye nyumba za wajumbe wa nyumba kumi, kisha wajumbe wana waita baadhi ya wakazi halafu wanawapigisha kura.
Mimi nilikuwa nimekaa pembeni kidogo kwenye kiduka, karibu kabisa na nyumba ya mjumbe wa nyumba kumi, wakafika eneo hilo na kuendeleza hako kamchezo, Mmoja woa ambaye ni mtu maarufu sana anaitwa hamisi akawa anazuga kana kwamba anabandika vitangazo vya kampeni. Akanisalimia na kubandika hicho kitangazo.
Baada ya hapo, nikajaribu kufatilia movement zao nikaona wanaingia kwenye nyumba za wajumbe wa nyumba kumi, kisha kilichokuwa kinafanyika, wajumbe wanawaitia watu ambao wanajua hawana misimamo mikali.
Warning: Uchaguzi wa mwaka huu una Joto kubwa sana, utakuwa tofauti na chaguzi za miaka yote, uhuni wa aina hii si uungwana kabisa, unaweza kuleta machafuko yasiyokuwa ya lazima. Naomba Wanaharakati mlifatilie hili ili lisije likageuza nchi yetu kuwa kisiwa cha umwagaji Damu.
Kwa yoyote atakae hitaji msaada wa kufatilia mimi namjua moja ya wajumbe waliofanyishwa mchezo huu kwa malipo ya tsh 10,000. Lakini huwa hakubaliani kabisa na Ufedhuri huu, naweza kuwaunganisha nae akawapa siri zote.
CC: Lucci Dotto Mnzava figganigga