mzalendo iq1
JF-Expert Member
- Mar 10, 2020
- 1,258
- 1,541
Habari wadau,
Mwaka huu CCM ya Magufuli sidhani kama itatumia nguvu nyingi kwenye kampeni sababu Serekali imeshafanya mambo mengi ambayo mpakasasa wananchi wamefuraia na kuonesha kufurahishwa na Utendaji wa awamu hii.
Yote kwa yote Ila siasa mchezo mchafu maana kuna watu wanaweza kutengeneza propaganda ambayo itakuchafua hata kama ukishindwa utaendelea kukutafuna kama kansa mwisho wa siku utaathirika
Sasa napenda niwashauri CCM kwenye kampeni nyie fanyeni siasa safi waonesheni wananchi mmefanya nini na wakiwapa tena muda mtafanya nini Ila kama CHADEMA watashindwa kufanya siasa safi na kuanza kuleta propaganda sababu ya kukosa ajenda basi waambieni Wananch yale mambo ambayo CHADEMA na Act wanayataka na kuahidi kuyatekeleza
Tukianzia na suala la ushoga alilokuwa analipambania Tundu Lissu. Pia mkumbuke Tundu Lissu aliulizwa kuhusu ushoga akasema yeye akiwa kiongozi hawezi kumyima mtu Uhuru wa kufanya kitu.
Pia suala la wanafunzi kuruhusiwa kwenda na mimba shuleni na baada ya kujifungua kuendelea na shule yaani CHADEMA wanataka tuache ule msemo wa wazee wetu samaki mmoja akioza mtoe kabla hajaozesha wengine
Mwaka huu CCM ya Magufuli sidhani kama itatumia nguvu nyingi kwenye kampeni sababu Serekali imeshafanya mambo mengi ambayo mpakasasa wananchi wamefuraia na kuonesha kufurahishwa na Utendaji wa awamu hii.
Yote kwa yote Ila siasa mchezo mchafu maana kuna watu wanaweza kutengeneza propaganda ambayo itakuchafua hata kama ukishindwa utaendelea kukutafuna kama kansa mwisho wa siku utaathirika
Sasa napenda niwashauri CCM kwenye kampeni nyie fanyeni siasa safi waonesheni wananchi mmefanya nini na wakiwapa tena muda mtafanya nini Ila kama CHADEMA watashindwa kufanya siasa safi na kuanza kuleta propaganda sababu ya kukosa ajenda basi waambieni Wananch yale mambo ambayo CHADEMA na Act wanayataka na kuahidi kuyatekeleza
Tukianzia na suala la ushoga alilokuwa analipambania Tundu Lissu. Pia mkumbuke Tundu Lissu aliulizwa kuhusu ushoga akasema yeye akiwa kiongozi hawezi kumyima mtu Uhuru wa kufanya kitu.
Pia suala la wanafunzi kuruhusiwa kwenda na mimba shuleni na baada ya kujifungua kuendelea na shule yaani CHADEMA wanataka tuache ule msemo wa wazee wetu samaki mmoja akioza mtoe kabla hajaozesha wengine