wounded man
Senior Member
- Feb 2, 2019
- 165
- 244
Sehemu yoyote ambayo ni potential basi kuna jengo moja au zaidi la CCM au kuna eneo kubwa la CCM, hapa namaanisha kila Tarafa au Kata basi kuna maeneo au kuna jengo la CCM, huwa najiuliza sana hiki chama tawala, chama kihenga Tanzania kilitoa wapi pesa ya kununua mali hizi zote
Kilifanya mradi gani mkubwa wa kupata pesa za kujiwekeza hivi, mbona hatujaambiwa kuwa wanachama washawahi kuchangia kwa ajili ya kufanya uwekezaji huu mkubwa waliofanya,
Mbona Serikali haijawahi kuweka document zozote hadharani za kuiuzia CCM mali hizi zote, kwa nini haijawahi kubinafsisha kwa yale maeneo ambayo hayaendelezwi ya ccm,
Kumbuka ccm inamagofu mengi sana katikati ya miji na inaharibu taswira ya miji na mijini,
Najua kuna wajuzi humu mtakuja kunipa majibu kuwa
1. CCM ilitoa wapi pesa ya kununua majengo haya yote?
2: ni lini serikali iliihuzia ccm mali hizi zote?
3: kwa nini zile ambazo haziendelezwi hazibinafsishwi miaka na miaka?
Nb
Sina chama ila nina mengi mapinduzi
Sent using Jamii Forums mobile app
Kilifanya mradi gani mkubwa wa kupata pesa za kujiwekeza hivi, mbona hatujaambiwa kuwa wanachama washawahi kuchangia kwa ajili ya kufanya uwekezaji huu mkubwa waliofanya,
Mbona Serikali haijawahi kuweka document zozote hadharani za kuiuzia CCM mali hizi zote, kwa nini haijawahi kubinafsisha kwa yale maeneo ambayo hayaendelezwi ya ccm,
Kumbuka ccm inamagofu mengi sana katikati ya miji na inaharibu taswira ya miji na mijini,
Najua kuna wajuzi humu mtakuja kunipa majibu kuwa
1. CCM ilitoa wapi pesa ya kununua majengo haya yote?
2: ni lini serikali iliihuzia ccm mali hizi zote?
3: kwa nini zile ambazo haziendelezwi hazibinafsishwi miaka na miaka?
Nb
Sina chama ila nina mengi mapinduzi
Sent using Jamii Forums mobile app