Kudo
JF-Expert Member
- Nov 2, 2017
- 1,809
- 6,081
Nimewaza tu zile kura za ndio wakati wanapitisha sheria ya kikotoo, nimekumbuka yule mwenyekiti wa vijana alivyoita waandishi na kujifanya anajua sana kueleza.
Nawaza tu katibu mwenezi na katibu mkuu wanalipi hapa la kutufanya tusapoti juhudi zao za kuita wengine mafisadi na wahujumu uchumi ikiwa chama chao kinahujumu uchumi?
Najiuliza tu huyu mtetezi wa wanyonge ndie mwenyekiti, kwanini wanyonge hawajaingiziwa stahiki zao?
Mataga; Naona wapo humu wanajaribu kutusahaulisha ufisadi wao kwa gari la Chadema huku wajikisahaulisha makusudi na bilioni za watu.
Watu hawapati mafao yao kumbe kuna chama kimekalia mabilioni.
Aisee!! Kama vyama vinafanya haya mi binafsi mwakani sitahangaika kupanga foleni kupiga kura.
Bora huo muda nitulie kuangalia mieleka nicheke peke yangu
Nawaza tu katibu mwenezi na katibu mkuu wanalipi hapa la kutufanya tusapoti juhudi zao za kuita wengine mafisadi na wahujumu uchumi ikiwa chama chao kinahujumu uchumi?
Najiuliza tu huyu mtetezi wa wanyonge ndie mwenyekiti, kwanini wanyonge hawajaingiziwa stahiki zao?
Mataga; Naona wapo humu wanajaribu kutusahaulisha ufisadi wao kwa gari la Chadema huku wajikisahaulisha makusudi na bilioni za watu.
Watu hawapati mafao yao kumbe kuna chama kimekalia mabilioni.
Aisee!! Kama vyama vinafanya haya mi binafsi mwakani sitahangaika kupanga foleni kupiga kura.
Bora huo muda nitulie kuangalia mieleka nicheke peke yangu