MTENDAHAKI
JF-Expert Member
- Mar 3, 2011
- 4,013
- 1,443
asilimia kubwa ya hao ni waarabu!warudi Oman kama hawataki muungano!
unafiki nini ...mbona ofisi za cuf hazikuchomwaYaani ni waongo wakutupwa.........Maana ukweli hawasemi kua wakati wanachoma moto askari walikua wanafanya nini nyuma yao..Mbona wanafiki sana
Huyo kiongozi aliyesema maneno hayo busara imemtoka na alikuwa akiropoka tu kwa kiwewe cha kuchomwa kwa ofisi ya CCM,mbona yalipochomwa makanisa hakusema ni wapinzani?
nakubaliana na wewe asilimia mia .....hizi midini ni upuuzi tu ambao unawafanya watu washindwe kufikiri sawasawa..midini hii ya wazungu na waarabu ovyo kabisa tupa kuleProblem kubwa hapa ni kutamani maisha ya kiarabu na kutukuza misingi na fikra za kizungu,ndicho kinatupa tabu sana binadamu wa karne 20 & 21 hakuna kingine chochote.Kwani wapiganapo mafahali wawili zihumiazo ni nyasi (wafrika weusi ambao ni wepesi kusahau enzi zile za kufungwa minyonyoro na kutembea kilometa nyingi sana).Sasa wanapiganishwa ili waweze kutawaliwa kirahisi kikubwa zaidi ni kwamba hawajitambui kwani dini zimepumbaza akili na fikra zao.:hatari:
nakubaliana na wewe asilimia mia .....hizi midini ni upuuzi tu ambao unawafanya watu washindwe kufikiri sawasawa..midini hii ya wazungu na waarabu ovyo kabisa tupa kule