johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,614
- 141,439
Msemaji wa CCM makao makuu Dodoma amesema idadi ya waliochukua fomu za kugombea nafasi ya Spika wa bunge la JMT imefikia 30 kufikia leo saa 10.00 jioni.
Amesema fomu zinatolewa katika vituo vitatu tu vya Dodoma, Dar es Salaam na Zanzibar na kwamba taarifa za kila siku zinatolewa ofisi kuu ya Dodoma na siyo mitandaoni.
Source: ITV habari
Amesema fomu zinatolewa katika vituo vitatu tu vya Dodoma, Dar es Salaam na Zanzibar na kwamba taarifa za kila siku zinatolewa ofisi kuu ya Dodoma na siyo mitandaoni.
Source: ITV habari