Tunasubiria EPA nyingine kwa style ya tofautie..Inabidi Prof Ndullu aangalie tusijemhamisha nchi..haya mambo ya siasa yasikie tu ila yakikujeuka utajuta kuwa kwenye gemu..
Sababu moja wapo ya kumuondoa Dr. Bukuku pale Bot na kumleta yule mama asiyejua lolote juu ya banking ni kuweka mambo sawa ili wakati ukifika iwe rahisi kuchota fedha a' la EPA; kwani Dr. Bukuku alikuwa kama vile alikuwa anawawekea kiwingu!! Baba ya yule mama ni rafiki ya mkweree na ndio maana nae pia ameula kwenye tume ya katiba; ni muendelezo wa kupendeleana na kulindana kwa kwenda mbele!! ccm oyeeeeeeeeeeeee!!!!!!!