Uchaguzi 2020 CCM wako tayari kwa lolote, hawako tayari kukikabidhi nchi kwa Upinzani. Mnalijua hilo?

CCM ni mfumo wa maisha na si chama cha siasa.

CCM inajua fika kwamba itafanya lolote na hakuna wa kufanya kitu.

Jumuiya ya kimataifa imegawanyika na haipo pamoja, hii ni advantage kubwa kwa CCM.
 
Ha ha haaaa. Naona maombi ya baadhi ya wachungaji na mashekhe leo maombi yao yamekuwa ni kumtukuza Magufuli badala ya kumtukuza Mungu. Wachungaji na Mashekhe wanapiga kampeni kwa kutaja mafly over kwa kuponda wapinzani na kuponda wanaowaita Mabeberu. Sasa sijui wanaomba au wanapiga madongo.
Nimesikiliza maombi ya leo kwa kweli nilikaa tu kimya

Sent from my Nokia 6.1 using JamiiForums mobile app
 
1602494798253.png
 
Atakayekuwa rais kupitia chadema nadhani bado hata chekechea hajaanza - na ni kweli nchi haikabidhiwi kama mtu anavyokabidhi kalamu ya Obama

CDM ondoeni wazo la Ikulu
Una elimu gani jamaa?
Sura yako inaonekana umezaliwa na kukulia kwenye umasikini uliotopea.
Hakikisha laana ya umasikini huirithishi kwa kikazi chako.
Fanya kazi kwa bidii,achana na kupenda vya kupewa. Toa jasho,ndio uanaume,sio kulamba viatu vya wenye nafasi kwa kulipwa ujira wa kukupeleka chooni.
Hao CCM wanakutumia tu kama karatasi ya chooni,kisha wanakutupa haja zao zikiisha.
 
Unachojaribu kusema ni upumbavu unategemea Magufuri kuna Mgombea wa kumshinda, watu mnaoshinda kwenye Mtandao mkiandika upuuzi bila kujua jamii inasemaje, mnafikiri nyinyi ndio wapiga kura ,mtakuja muniambia October 28 atakavyoshinda Magufuri, na huu upuuzi wenu utakuwa umefika mwisho
 
CCM kinajua kuwa siyo rahisi kushinda kwa sanduku la kura, sasa wapo tayari kwa lolote ilimradi warudi Ikulu upinzani wapende wasipende.

CCM kinajua kina Madudu mengi hasa kwenye miradi hasa kwenye miradi hii mimea ya STIGLERS, SGR na ununuzi wa ndege ambao hata CAG hakueleza ni vipi alishindwa kukagua. Hii miradi Lissu amesema imejaa harufu ya upigaji. Ndiyo maana hawako tayari kuachia dola.

USHAHIDI KWAMBA CCM IMECHOKWA
# Ilipokonya Ushindi Zanzibar 2015
# Kuengua Wagombea wa Upinzani
# Wametamka mara nyingi kua hawako tayari kukabidhi nchi hasa Zanzibar
# Matumizi makubwa ya jeshi la polisi
# Matimizi ya NEC- Tumeona Tume bila kujua wakifanya njama wazi wazi baada ya kumpigia mgombea ubunge wa CHADEMA Karagwe wakidhani ni Mkurugenzi.
# Kushusha bendera za upinzani na kuchana mabango yao.

ANGALIZO KWA CCM
Mkumbuke kwamba taifa hili liliachwa likiwa moja na Mwalimu Nyerere. Aliasisi upinzani ninyi mkiwa hamtaki lakini muelewe kuwa wapinzani wamesema Uchaguzi huu 2020 sasa basi, wamesema wakishindwa hawatamuachia Mungu.

Sasa mkishindwa mwaka huu lazimisheni muone. Kama mna ubavu mnaengua wapinzani Wa nini? Kama mnajua mnakubalika mnashusha bendera na kuchana mabango ya wenzenu ya nini?
Utakabizije uraisi kwa mtu ambae hajashinda?
Hata kama ni wewe utakuwa na akiri kweli, umeshinda kisha unaacha ushindi?
 
Back
Top Bottom