Gerald .M Magembe
JF-Expert Member
- Jul 17, 2013
- 2,496
- 1,797
Usiseme CCM. Sema Magufuli na vibaraka wake ndyo hawapo tyar ila kunampasuko mkubwa umo ccm wanatamani akatwe.
Punguza, punguza haiwezi kutokea katikati tya miaka kumi kukawa na mpasuko, ili wenye kupasua wafanye nini? Kama utakuwepo 2025 na sio leo.