Uchaguzi 2020 CCM wako tayari kwa lolote, hawako tayari kukikabidhi nchi kwa Upinzani. Mnalijua hilo?

Usiseme CCM. Sema Magufuli na vibaraka wake ndyo hawapo tyar ila kunampasuko mkubwa umo ccm wanatamani akatwe.


Punguza, punguza haiwezi kutokea katikati tya miaka kumi kukawa na mpasuko, ili wenye kupasua wafanye nini? Kama utakuwepo 2025 na sio leo.
 
CCM kinajua kuwa siyo rahisi kushinda kwa sanduku la kura, sasa wapo tayari kwa lolote ilimradi warudi Ikulu upinzani wapende wasipende.

CCM kinajua kina Madudu mengi hasa kwenye miradi hasa kwenye miradi hii mimea ya STIGLERS, SGR na ununuzi wa ndege ambao hata CAG hakueleza ni vipi alishindwa kukagua. Hii miradi Lissu amesema imejaa harufu ya upigaji. Ndiyo maana hawako tayari kuachia dola.

USHAHIDI KWAMBA CCM IMECHOKWA
# Ilipokonya Ushindi Zanzibar 2015
# Kuengua Wagombea wa Upinzani
# Wametamka mara nyingi kua hawako tayari kukabidhi nchi hasa Zanzibar
# Matumizi makubwa ya jeshi la polisi
# Matimizi ya NEC- Tumeona Tume bila kujua wakifanya njama wazi wazi baada ya kumpigia mgombea ubunge wa CHADEMA Karagwe wakidhani ni Mkurugenzi.
# Kushusha bendera za upinzani na kuchana mabango yao.

ANGALIZO KWA CCM
Mkumbuke kwamba taifa hili liliachwa likiwa moja na Mwalimu Nyerere. Aliasisi upinzani ninyi mkiwa hamtaki lakini muelewe kuwa wapinzani wamesema Uchaguzi huu 2020 sasa basi, wamesema wakishindwa hawatamuachia Mungu.

Sasa mkishindwa mwaka huu lazimisheni muone. Kama mna ubavu mnaengua wapinzani Wa nini? Kama mnajua mnakubalika mnashusha bendera na kuchana mabango ya wenzenu ya nini?
Ccm ni malofa tu!!
 
CCM kinajua kuwa siyo rahisi kushinda kwa sanduku la kura, sasa wapo tayari kwa lolote ilimradi warudi Ikulu upinzani wapende wasipende.

CCM kinajua kina Madudu mengi hasa kwenye miradi hasa kwenye miradi hii mimea ya STIGLERS, SGR na ununuzi wa ndege ambao hata CAG hakueleza ni vipi alishindwa kukagua. Hii miradi Lissu amesema imejaa harufu ya upigaji. Ndiyo maana hawako tayari kuachia dola.

USHAHIDI KWAMBA CCM IMECHOKWA
# Ilipokonya Ushindi Zanzibar 2015
# Kuengua Wagombea wa Upinzani
# Wametamka mara nyingi kua hawako tayari kukabidhi nchi hasa Zanzibar
# Matumizi makubwa ya jeshi la polisi
# Matimizi ya NEC- Tumeona Tume bila kujua wakifanya njama wazi wazi baada ya kumpigia mgombea ubunge wa CHADEMA Karagwe wakidhani ni Mkurugenzi.
# Kushusha bendera za upinzani na kuchana mabango yao.

ANGALIZO KWA CCM
Mkumbuke kwamba taifa hili liliachwa likiwa moja na Mwalimu Nyerere. Aliasisi upinzani ninyi mkiwa hamtaki lakini muelewe kuwa wapinzani wamesema Uchaguzi huu 2020 sasa basi, wamesema wakishindwa hawatamuachia Mungu.

Sasa mkishindwa mwaka huu lazimisheni muone. Kama mna ubavu mnaengua wapinzani Wa nini? Kama mnajua mnakubalika mnashusha bendera na kuchana mabango ya wenzenu ya nini?
wameandaa makao mapya huko visiwa vya Comoro!
 
CCM kinajua kuwa siyo rahisi kushinda kwa sanduku la kura, sasa wapo tayari kwa lolote ilimradi warudi Ikulu upinzani wapende wasipende.

CCM kinajua kina Madudu mengi hasa kwenye miradi hasa kwenye miradi hii mimea ya STIGLERS, SGR na ununuzi wa ndege ambao hata CAG hakueleza ni vipi alishindwa kukagua. Hii miradi Lissu amesema imejaa harufu ya upigaji. Ndiyo maana hawako tayari kuachia dola.

USHAHIDI KWAMBA CCM IMECHOKWA
# Ilipokonya Ushindi Zanzibar 2015
# Kuengua Wagombea wa Upinzani
# Wametamka mara nyingi kua hawako tayari kukabidhi nchi hasa Zanzibar
# Matumizi makubwa ya jeshi la polisi
# Matimizi ya NEC- Tumeona Tume bila kujua wakifanya njama wazi wazi baada ya kumpigia mgombea ubunge wa CHADEMA Karagwe wakidhani ni Mkurugenzi.
# Kushusha bendera za upinzani na kuchana mabango yao.

ANGALIZO KWA CCM
Mkumbuke kwamba taifa hili liliachwa likiwa moja na Mwalimu Nyerere. Aliasisi upinzani ninyi mkiwa hamtaki lakini muelewe kuwa wapinzani wamesema Uchaguzi huu 2020 sasa basi, wamesema wakishindwa hawatamuachia Mungu.

Sasa mkishindwa mwaka huu lazimisheni muone. Kama mna ubavu mnaengua wapinzani Wa nini? Kama mnajua mnakubalika mnashusha bendera na kuchana mabango ya wenzenu ya nini?
Ndiyo TUNALIJUA HILO, kwa sababu unapozungumzia CCM, unazungumzia UMMA WA WATANZANIA ambao 28/10/2020 watajitokeza kumlipua Lissu na mabeberu wake na kuzidi kuiongoza nchi yetu nzuri ya Tanzania. Hayo usemayo ni "heresay na hayana concrete evidence, ni maneno yakulishwa na akina Amsterdam.
 
WATZ NI WAOGA SANA!JUZI NAONGEA NA MKUU WA KITUO CHA POLISI KIMOJA HV!!ANASEMA WABONGO WAOGA SANA HUWA TUNAPIGA MABOM KUTISHIA TU KAMA HAMTAOGOPA MKAENDELEA TUNA NYANYUA MIKONO NA KUSEMA HATUWEZI TUSIJE TUKAUA WATU!!SASA NYIE BOMU MOJA TU MSHAKIMBIA!!!
Kuna mtu wa kitengo aliniambia maandamano yote yanakuwa na mamluki..likipigwa bomu wanakuwa wakwanza kukimbia kuleta taharuki...hatuko salama
 
Ha ha haaaa. Naona maombi ya baadhi ya wachungaji na mashekhe leo maombi yao yamekuwa ni kumtukuza Magufuli badala ya kumtukuza Mungu. Wachungaji na Mashekhe wanapiga kampeni kwa kutaja mafly over kwa kuponda wapinzani na kuponda wanaowaita Mabeberu. Sasa sijui wanaomba au wanapiga madongo.

Maombi mengi ya viongozi wa dini sasa hivi ni kama neno la Mungu lilo kwenye frame (background)ya majigambo ya ccm.
 
Hawako tayari wasikilizeni



Sent from my SM-A505F using JamiiForums mobile app
 
naona unaweweseka.mzee mbona hujiamini ? 2015 mafuriko ya ma mamvi je? mwisho wa siku raia walifanyaje?
hebu tuwe na kasmat ya kukubal
 
Wewe mbona ni kama mwanasesere mjinga jinga tu, umeandika nn sasa apo??
CCM daima, tunaelekea Mexico, chama kimetawala tangu nchi ipate uhuru, miaka 230 iliyopita.

Tuna elekea huko huko México tunarudia tuu, mfano tumekwisha onyeshwa.
 
CCM kinajua kuwa siyo rahisi kushinda kwa sanduku la kura, sasa wapo tayari kwa lolote ilimradi warudi Ikulu upinzani wapende wasipende.

CCM kinajua kina Madudu mengi hasa kwenye miradi hasa kwenye miradi hii mimea ya STIGLERS, SGR na ununuzi wa ndege ambao hata CAG hakueleza ni vipi alishindwa kukagua. Hii miradi Lissu amesema imejaa harufu ya upigaji. Ndiyo maana hawako tayari kuachia dola.

USHAHIDI KWAMBA CCM IMECHOKWA
# Ilipokonya Ushindi Zanzibar 2015
# Kuengua Wagombea wa Upinzani
# Wametamka mara nyingi kua hawako tayari kukabidhi nchi hasa Zanzibar
# Matumizi makubwa ya jeshi la polisi
# Matimizi ya NEC- Tumeona Tume bila kujua wakifanya njama wazi wazi baada ya kumpigia mgombea ubunge wa CHADEMA Karagwe wakidhani ni Mkurugenzi.
# Kushusha bendera za upinzani na kuchana mabango yao.

ANGALIZO KWA CCM
Mkumbuke kwamba taifa hili liliachwa likiwa moja na Mwalimu Nyerere. Aliasisi upinzani ninyi mkiwa hamtaki lakini muelewe kuwa wapinzani wamesema Uchaguzi huu 2020 sasa basi, wamesema wakishindwa hawatamuachia Mungu.

Sasa mkishindwa mwaka huu lazimisheni muone. Kama mna ubavu mnaengua wapinzani Wa nini? Kama mnajua mnakubalika mnashusha bendera na kuchana mabango ya wenzenu ya nini?
Usihofu, acha waandae risasi na mabomu ya kutosha ili watumalize wote. Safari tutaingia barabarani kumfurusha huyu MKOLONI MWEUSI, HAKI HAIOMBWI..
 
Back
Top Bottom