CCM wakamatwa na Rushwa Igunga

Dec 5, 2009
65
23
Wakuu heshima mbele.

Ninaleta habari kutoka katika uwanja wa mapambano kule Igunga ambako CCM, CHADEMA na CUF wamekwishaanza mchakato wa kulitwaa jimbo kila mmoja kwa nmna yake.

Taarifa zilizotolewa leo hii asubuhi ya saa 4 ni kwamba mbunge mmoja wa CCM kutoka katika mkoa wa Singida wilaya ya Iramba ameruka kiunzi cha maafisa wa TAKUKURU kiaina baada ya kukamatwa live wakigawa rushwa kwa wapiga kura huko Igunga.

Mchezo ulikuwa ukifuatiliwa kwa karibu sana na makachero wa CHADEMA ambako siri ya eneo la tukio ilifahamika na hivyo mtego kuandaliwa mapema. Taarifa za kiinteligensia ziliwafikia makamanda wa CHADEMA kuhusu uwezekano wa kumkamata Mhe. Mbunge huyo na hivyo mbinu za kumweka mkononi kuwekwa.

TAKUKURU walipofika eneo la tukio waliwachukua wote waliohusika bila kumkamata Mhe. mbunge. Hata hivyo kikosi cha kufuatilia nyendo za watoa rushwa wa CCM kiko makini sana. Na kwa hakika pamoja na kulindwa sana lazima watashikwa.

Tutaendelea kujuzana
 
Hii habari kuna ndugu yangu kanidokezea leo, nilifikiri ni uzushi.
Naanza kupata picha kuwa ina ukweli.
 
Watahangaika sana lkn mwisho wao lazima ufike. Umefika wakati hata maDC wakihutubia wananchi wanatukana halafu wanauliza pembeni "Hivi nimetukana?" Kumbukumbu hawana tena.
 
huh...............mwisho wa siku utaskia hawana na hawakukamatwa na vithibitisho,picha la kihindi hili
 
Wakuu heshima mbele.

Ninaleta habari kutoka katika uwanja wa mapambano kule Igunga ambako CCM, CHADEMA na CUF wamekwishaanza mchakato wa kulitwaa jimbo kila mmoja kwa nmna yake.

Taarifa zilizotolewa leo hii asubuhi ya saa 4 ni kwamba mbunge mmoja wa CCM kutoka katika mkoa wa Singida wilaya ya Iramba ameruka kiunzi cha maafisa wa TAKUKURU kiaina baada ya kukamatwa live wakigawa rushwa kwa wapiga kura huko Igunga.

Mchezo ulikuwa ukifuatiliwa kwa karibu sana na makachero wa CHADEMA ambako siri ya eneo la tukio ilifahamika na hivyo mtego kuandaliwa mapema. Taarifa za kiinteligensia ziliwafikia makamanda wa CHADEMA kuhusu uwezekano wa kumkamata Mhe. Mbunge huyo na hivyo mbinu za kumweka mkononi kuwekwa.

TAKUKURU walipofika eneo la tukio waliwachukua wote waliohusika bila kumkamata Mhe. mbunge. Hata hivyo kikosi cha kufuatilia nyendo za watoa rushwa wa CCM kiko makini sana. Na kwa hakika pamoja na kulindwa sana lazima watashikwa.

Tutaendelea kujuzana

alikamatajwe live..?
 
Napata kichefuchefu kila nikisoma siasa za bongo.
Waachieni wan igunga wamchague wanaemtaka.
 
wasira na mboye ana kwa ana.jpg
08_11_vgxhur.jpg
 
Uongo na ukweli haviendi njia moja. Unaweza kumudu kusema uongo saa na wakati wote lakini huwezi ukawa yuleyule saa na wakati wote. Wakati wa kusema na kushuhudia uongo huwa tunazika karama ya utu tuliyopewa na Mungu. Lakini baada ya kushuhudia uwongo Mungu kwa huruma huturejeshea karama yetu na hapa ndio mateso yanaanza kwani nafsi zetu hukataa kubariki tuliyoyasema na kushuhudia kinyume na utu wetu. kwa sababu ya hilo huwa tunakosa ushujaa wa kushuhudia kwa macho ulimwengu unaotuzunguka ndivyo picha hii inavyotuambia kuhusu aliyoyasema Wassira katika mjadala kwenye kipindi cha TBC1. Saa ya uongo imepita sasa Wasira hawezi tena kuwa shujaa mbele za watu anaogopa hata kivuri chake na cha mpiga picha. Malipo ni hapa hapa duniani
 
npo apa The Planet hotel...na hz ndo tetesi za mji mzma wa igunga...jamaa wameanza kumwaga fedha n balb?na jana kuna vijana wamekula hela ndefu toka makada wa CCM maeneo ya machinjio mapya njia ya kwenda nzega.,
 
Wakuu heshima mbele.

Ninaleta habari kutoka katika uwanja wa mapambano kule Igunga ambako CCM, CHADEMA na CUF wamekwishaanza mchakato wa kulitwaa jimbo kila mmoja kwa nmna yake.

Taarifa zilizotolewa leo hii asubuhi ya saa 4 ni kwamba mbunge mmoja wa CCM kutoka katika mkoa wa Singida wilaya ya Iramba ameruka kiunzi cha maafisa wa TAKUKURU kiaina baada ya kukamatwa live wakigawa rushwa kwa wapiga kura huko Igunga.

Mchezo ulikuwa ukifuatiliwa kwa karibu sana na makachero wa CHADEMA ambako siri ya eneo la tukio ilifahamika na hivyo mtego kuandaliwa mapema. Taarifa za kiinteligensia ziliwafikia makamanda wa CHADEMA kuhusu uwezekano wa kumkamata Mhe. Mbunge huyo na hivyo mbinu za kumweka mkononi kuwekwa.

TAKUKURU walipofika eneo la tukio waliwachukua wote waliohusika bila kumkamata Mhe. mbunge. Hata hivyo kikosi cha kufuatilia nyendo za watoa rushwa wa CCM kiko makini sana. Na kwa hakika pamoja na kulindwa sana lazima watashikwa.

Tutaendelea kujuzana
Bravo CDM endeleeni kufuatilia kusanyeni taarifa. Kumbukeni mahakama haziaminiki tena hao wezi wameshaangamiza kila mfumo. Kumbukeni Jaji Ramadhani alituambia alishaamuriwa atoe hukumu "wanavyotaka". My take; Our fate are on our hands.
 
npo apa The Planet hotel...na hz ndo tetesi za mji mzma wa igunga...jamaa wameanza kumwaga fedha n balb?na jana kuna vijana wamekula hela ndefu toka makada wa CCM maeneo ya machinjio mapya njia ya kwenda nzega.,
Ngaliba sijakuelewa kwenye bold.
 

Similar Discussions

6 Reactions
Reply
Back
Top Bottom