Tukiangalia Picha hii, ambayo Nape hajaja kuitolea majibu, na ambayo hapa jamvini hukaa muda mfupi, basi CCM wanapaswa kuulizwa kwanini ili siku nyingine wakiitwa wezi wasikatae. Angalia picha ya attachment
Hawa watu hawawezi tena kubrain storm na kubuni sera za kumkomboa Mtanzania. Ni wabinafsi na wao na familia zao wameshiba. Inatakiwa sasa wakae pembeni.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.