CCM wahaha kumnasua Magufuli baada ya umaarufu wake kushuka. Wapinga utafiti wa Twaweza wakiongozwa na Msekwa

Return Of Undertaker

JF-Expert Member
Jun 12, 2012
4,572
26,868
Habari wadau!

Ccm na hasa makada tumbo wanazunguka katika vyombo vya habari na mitandao ya kijamii kupinga utafiti wa twaweza bila kuwa na utafiti mbadala hasa kipengere cha umaarufu wa rais kushuka toka 96% hadi 55% na kipengere cha kupendwa zaidi na wasio na elimu na wazee.

Ukisoma gazeti la habari leo wanapinga hilo na ukimsikiliza Msekwa nae anapinga cha ajabu anapingia mdomoni bila utafiti.

Huu unafiki utawaisha lini kumwona mtu kama malaika au mungu wao kuwa akiboronga wao ni kusifu tuuu?

Kwanini wanataka umaarufu usio sahihi na sifa zisizo zao?

Angeomekana anapendwa kwa 99% nao wangepinga kuwa ni ndogo??
 
Mzee anatakiawa ajue huu ni mwaka wa tatu uanakatiaka na hali ya maisha inazidi kuwa ngumu, bei ya bidhaa na mafuta vimepanda maradufu, hakuna nafuu ya maisha , ajira ndio usizeme watu wamepukutishwa makazini na mafao wamenyimwa, na wana hali mbaya mtaani we unategemea nani atamuunga mkono tena

Vision yake ipo kwenye ujenzi na ununuzi wa vitu ndio anachokiona yeye, kumbe amesahau kuboresha maisha ya watz, kuboresha sekta ya uwekezaji ili kuongeza ajira hilo yeye halijui, wawekezaji wengi wamekimbia na ndio maana ajira hamna

Wenzake akina kenyata kila siku wapo angani wanahaha kutafuta wawekezaji na kutafuta masoko ya bidhaa za kenya katika nchi mbalimbali na ndio maana wakenya uchumi wao na thamani ya pesa yao inaongezeka cuz wanaexport sana bidhaa zao nnje, lakini boss wetu yeye anatuma watu tu, huku kajifungia ndani,

Usitegemee maendeleo hapo...
 
Mkuu utafiti uliofanywa na Twaweza haukufanywa kwa kuzingatia vigezo vya kitaalam kabisa,kwa hiyo unapaswa kupuuzwa.Inawezekana umaarufu wa JPM kweli umeshuka,hatukatai, lakini hii ilipaswa kuwa "genuinely" proved by a well done scientific research, ambayo imezingatia vizuri vigezo vyote vya represantive sampling of the population in question.

Yeyote anayeshabikia utafiti huu uchwara ana ajenda ya siri.Nilishasema siku nyingi na mara nyingi hapa kwamba NGOs zipo kwa ajili ya kutetea maslahi ya mabwaba zao,ambao ni makuwadi wa wakoloni,na kama hatukuwa makini watatuchanganya sana.

Mimi binafsi sioni maana ya uwepo wao,hawaongezi value yeyote ya maana in our endeavor towards eliminating poverty,sana sana wanatuchanganya tu.Hii ya kusema umaarufu wa Magufuli umeshuka kwa kutumia conclusion uchwara ya utafiti uchwara is a case in point.Hivi tunaogopa nini,kwa nini tusivifute vi-NGO hivi?
 
  • Thanks
Reactions: UCD
Mkuu utafiti uliofanywa na Twaweza haukufanywa kwa kuzingatia vigezo vya kitaalam kabisa,kwa hiyo unapaswa kupuuzwa.Inawezekana umaarufu wa JPM umeshuka,hatukatai,
lakini hii ilipaswa kuwa genuinely proved by a well done scientific research ambayo imezingatia vizuri vigezo vyote vya represantive sampling of the population. Yeyote anayeshabikia utafiti huu uchwara ana ajenda ya siri.Nilishasema siku nyingi na mara nyingi hapa kwamba NGO zipo kwa ajili ya kutetea maslahi ya mabwaba zao,ambao ni makuwadi wa wakoloni,na kama hatukuwa makini watatuchanganya sana.Mimi binafsi sioni maana ya uwepo wao,hawaongezi value yeyote ya maana in our endeavor towards eliminating poverty,sana sana wanatutibua tu.Hii ya kusema umaarufu wa Magufuli umeshuka kwa kutumia conclusion uchwara ya utafiti uchwara is a case in point.Hivi tunaogopa nini,kwa nini tusivifute vi-NGO hivi?Vinatuchanganya tu.
Mmmh naiona akili ya kikanda hapa!!
 
Mbona mnapenda kutuiga?
Maisha magumu,kwa watumishi Kwa mfano,mtu miaka 3 mishahara hiyo hiyo,madaraja hayo hayo,kama hupandishi mishahara sawa,mpandishe mtu kwenye daraja lake sitahiki maana Ni haki yake kiutumishi,ukiminya daraja unaathiri mpaka pensheni yake mtumishi hyu,sasa mtu hapo atakupenda Kwa lipi?wakulima nao Hali Ni hiyo hiyo
 
Mkuu utafiti uliofanywa na Twaweza haukufanywa kwa kuzingatia vigezo vya kitaalam kabisa,kwa hiyo unapaswa kupuuzwa.Inawezekana umaarufu wa JPM umeshuka,hatukatai,
lakini hii ilipaswa kuwa genuinely proved by a well done scientific research ambayo imezingatia vizuri vigezo vyote vya represantive sampling of the population. Yeyote anayeshabikia utafiti huu uchwara ana ajenda ya siri.Nilishasema siku nyingi na mara nyingi hapa kwamba NGO zipo kwa ajili ya kutetea maslahi ya mabwaba zao,ambao ni makuwadi wa wakoloni,na kama hatukuwa makini watatuchanganya sana.Mimi binafsi sioni maana ya uwepo wao,hawaongezi value yeyote ya maana in our endeavor towards eliminating poverty,sana sana wanatutibua tu.Hii ya kusema umaarufu wa Magufuli umeshuka kwa kutumia conclusion uchwara ya utafiti uchwara is a case in point.Hivi tunaogopa nini,kwa nini tusivifute vi-NGO hivi?Vinatuchanganya tu.
Embu kafanye yakwako uje nayo brother.
Ume comment as if twaweza haina wataalam.
Mule kuna mathematician, wataalam wa research and statistics kuna wataam wengine pia. Mpaka wanakuja na research hawaja kurupuka man. Wemefanya kazi yako.

Kama una objection unaweza fanya research yako ilukaleta mahib yako ambayo ni sahihi.
 
Embu kafanye yakwako uje nayo brother.
Ume comment as if twaweza haina wataalam.
Mule kuna mathematician, wataalam wa research and statistics kuna wataam wengine pia. Mpaka wanakuja na research hawaja kurupuka man. Wemefanya kazi yako.

Kama una objection unaweza fanya research yako ilukaleta mahib yako ambayo ni sahihi.
Twaweza haina wataalam mkuu,ingekuwa na wataalam isingetuletea matotokeo uchwara ya utafiti uchwara namna hii.Ninyi mnatumiwa na mabwana zenu kutuchanganya.
Mtaalam gani asiyejua hata basics za ku-sample a population.Shame on you.
 
Back
Top Bottom