CCM wagumu kuelewa aisee, hivi watu hawa wakoje?

"Chama changu CCM ndiyo gwiji wa rushwa nchini na sioni aibu kusema " by Butiku
 
kaka mahanju, hii ni kitu kama mimba, itafika muda itaonekana dhahiri kabisa, we huoni bint mimba ikiwa changa anavyokataa katakata, inafika muda inabidi akubaliane na hali, na wao itafika muda watakubaliana na hali tu, hamna namna
 
Ripoti za dunia zinasema kua uchumi wetu unadidimia,Benki ya dunia imetoa onyo na kututahadharisha kua uchumi wetu unaelekea kubaya lakini CCM wanakataa na kulazimisha tuu. Taasisi na majarida ya kiuchumi duniani yanaripoti kua uchumi wa nchi yetu uko kwenye zone mbaya lakini CCM wanakana na kejeli juu, hivi hawa watu wakoje? Wanabishana vipi na mashirika ya nje pamoja na benki ya dunia? Wanasubiri siku tunaanguka kiuchumi ili waje wakiri? Duh mimi sijawahi kuona hii ni kali kwangu.

Ripoti za asasi za kiraria na mashirika ya haki za binadamu duniani yanalalamikia ukiukwaji wa misingi ya kidemokrasia, CCM wanalikataa hili. Hivi hiki chama chetu tawala kinataka nini? Nini faida ya kuukataa ukweli juu ya maisha ya watu?
Mkuu ukishakuwa ccm unakuwa na akili za kikoromije, huwezi elewa lipi baya lipi ziri
 
Ripoti za dunia zinasema kua uchumi wetu unadidimia,Benki ya dunia imetoa onyo na kututahadharisha kua uchumi wetu unaelekea kubaya lakini CCM wanakataa na kulazimisha tuu. Taasisi na majarida ya kiuchumi duniani yanaripoti kua uchumi wa nchi yetu uko kwenye zone mbaya lakini CCM wanakana na kejeli juu, hivi hawa watu wakoje? Wanabishana vipi na mashirika ya nje pamoja na benki ya dunia? Wanasubiri siku tunaanguka kiuchumi ili waje wakiri? Duh mimi sijawahi kuona hii ni kali kwangu.

Ripoti za asasi za kiraria na mashirika ya haki za binadamu duniani yanalalamikia ukiukwaji wa misingi ya kidemokrasia, CCM wanalikataa hili. Hivi hiki chama chetu tawala kinataka nini? Nini faida ya kuukataa ukweli juu ya maisha ya watu?
Brother, siku nyingine utakapotaka kutoa hoja humu JF jitahidi sana kuwa na rejea. Hizo za "taarifa za mashirika mbalimbali" ni ngumu kumesa.
 
Kiwanda cha sigala kinatusaidia nn,, maana nachojua kinahamasisha uvutaji wa sigala hapa nchini
 
Ripoti za dunia zinasema kua uchumi wetu unadidimia,Benki ya dunia imetoa onyo na kututahadharisha kua uchumi wetu unaelekea kubaya lakini CCM wanakataa na kulazimisha tuu. Taasisi na majarida ya kiuchumi duniani yanaripoti kua uchumi wa nchi yetu uko kwenye zone mbaya lakini CCM wanakana na kejeli juu, hivi hawa watu wakoje? Wanabishana vipi na mashirika ya nje pamoja na benki ya dunia? Wanasubiri siku tunaanguka kiuchumi ili waje wakiri? Duh mimi sijawahi kuona hii ni kali kwangu.

Ripoti za asasi za kiraria na mashirika ya haki za binadamu duniani yanalalamikia ukiukwaji wa misingi ya kidemokrasia, CCM wanalikataa hili. Hivi hiki chama chetu tawala kinataka nini? Nini faida ya kuukataa ukweli juu ya maisha ya watu?

Kwani wagumu kuelewa au wameamua tu kubusu Mkono walioshindwa kuuvunja bana?!!
 
Upinzani bwana, utadhani nao sio sehemu ya hii nchi.

Sijawahi kumsikia kiongozi yeyote wa upinzani akija na solution ya jambo lolote zaidi ya vilio na lawama za kila siku.
 
Upinzani bwana, utadhani nao sio sehemu ya hii nchi.

Sijawahi kumsikia kiongozi yeyote wa upinzani akija na solution ya jambo lolote zaidi ya vilio na lawama za kila siku.
Wakiongea tu mna wa pyu pyu
 
Ripoti za dunia zinasema kua uchumi wetu unadidimia,Benki ya dunia imetoa onyo na kututahadharisha kua uchumi wetu unaelekea kubaya lakini CCM wanakataa na kulazimisha tuu. Taasisi na majarida ya kiuchumi duniani yanaripoti kua uchumi wa nchi yetu uko kwenye zone mbaya lakini CCM wanakana na kejeli juu, hivi hawa watu wakoje? Wanabishana vipi na mashirika ya nje pamoja na benki ya dunia? Wanasubiri siku tunaanguka kiuchumi ili waje wakiri? Duh mimi sijawahi kuona hii ni kali kwangu.

Ripoti za asasi za kiraria na mashirika ya haki za binadamu duniani yanalalamikia ukiukwaji wa misingi ya kidemokrasia, CCM wanalikataa hili. Hivi hiki chama chetu tawala kinataka nini? Nini faida ya kuukataa ukweli juu ya maisha ya watu?

USIJALI KIJANA DENI LA TAIFA NI HIMILIVU
 
8 Reactions
Reply
Back
Top Bottom