Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Chama cha mapinduzi kinaishi maisha ya kuonewa huruma. Kimeanza kuchoma moto nyumba za viongozi wao ili wananchi wajue wapinzani ndio wachochezi wa machafuko. Imetokea igunga jana vijana wa ccm wamechoma nyumba ya kiongozi wa kata wa chama cha mapinduzi.
mkuu, hebu elezea vizuri hii kitu. mimi sijakupata vizuri.Chama cha mapinduzi kinaishi maisha ya kuonewa huruma. Kimeanza kuchoma moto nyumba za viongozi wao ili wananchi wajue wapinzani ndio wachochezi wa machafuko. Imetokea igunga jana vijana wa ccm wamechoma nyumba ya kiongozi wa kata wa chama cha mapinduzi.
Hebu na tuwaache tu vijana wa CCM maadamu wamechagua kutumika kama mipira ya kiume kwa raha ya Kikweteh na familia yake, basi. Wee mtu mwenye akili zako huwezi ukapewa elfu20 ukafanye kazi ambayo inaweza kukupelekea kupigwa tindikali au kuuawa ili CCM istawi
Ukiona hivyo ujue kiongozi huyo na wapiga kura aliokuwa amewaandaa wamerushana mshiko na hilo liko wazi CCM hupishana sana kipindi cha uchaguzi kwani viongozi wengi wao huko vijijini huwarusha wale watu aliowaandaaa na kuwa na imani nao kuwa watamchagua mtu wa CCM sasa ikitokia mapishano ndio hali hiyo hutokea.
My Take;
Vijana wa CCM wajitambue na waache tabia ya kutumiwa kama watumwa wajiamulie maamuzi yao na sio kupelekeshwa kwa sababu za njaaaa
na bado watanzania wa sasa c wakudanganyika kwa staili ya kiivyo