Hahaha kushinda kwa kumtegemea Mungu sijui, labda kampeni zipigwe mbinguni pia. Hawa watu wanawajua mkishindwa mtasema Mungu kapenda. Dawa ni kutokushiriki uchaguzi ikiwa mazingira hayataboreshwa. Mkiingia hivi hivi basi mmerogwa.Mkuu ya mungu ni mengi, hakuna ajuae kesho, kaa hii sheria ya vyama jiwe ataweka signature then hakuna haja ya kushiriki katika uchanguzi, lakini jiwe ataondolewa na mungu pengine kabla ya 2020