Ccm mkoa wa arusha hasa jimbo la arusha mjini, wanahaha kutafuta cha kufanya hasa kipindi cha uchaguz mdogo.katika uchaguz uliotangazwa wa madiwan kwa kata zilizowazi kote nchini mwakanin,ccm mkoa wa Arusha wanahaha kutafuta mgombea wa kushindana na upinzan hasa chadema katika kata ya sombetini kwan wengi wanaogopa kuaibika kama ile 4 bila.
Nmebahatika kutembelea kata hyo ya sombetin nakubain kuwa asilimia kubwa ya wananchi hawatak kusikia ccm,huku wagombea wengi wakitaka kujinad chadema.ofisi za ccm nyngi zmefungw.,mfn kule ngusero nje kdg na jiji bendera za chadema zipo kwa wingi na kila vikund vya watu 10 ukiwauliuza vp siasa huku, 9 wanakuambia siasa ni chadema tu huku mmjoa akiitaja ccm..
Ccm mnajiaribia wenyew kadr manavowafanyia vituko zaid upinzn na kukaa muda mrefu kwa kuiba pesa za wananchi
Nmebahatika kutembelea kata hyo ya sombetin nakubain kuwa asilimia kubwa ya wananchi hawatak kusikia ccm,huku wagombea wengi wakitaka kujinad chadema.ofisi za ccm nyngi zmefungw.,mfn kule ngusero nje kdg na jiji bendera za chadema zipo kwa wingi na kila vikund vya watu 10 ukiwauliuza vp siasa huku, 9 wanakuambia siasa ni chadema tu huku mmjoa akiitaja ccm..
Ccm mnajiaribia wenyew kadr manavowafanyia vituko zaid upinzn na kukaa muda mrefu kwa kuiba pesa za wananchi