CCM wabadili Katiba Rais asiwe mwenyekiti kama wanataka 2025 wawe wapinzani imara

pakaywatek

JF-Expert Member
Dec 28, 2014
4,636
6,261
Kwa mwenendo ambao unaonekana CCM wanajilazimisha kuwa wapo wamoja jambo ambalo siyo kweli. Na hii inatokea kwa sababu mwenyekiti anaonekana Kama mungu ndani ya chama na hakosei kwa sababu katiba ya CCM inampa mamlaka ya kuwa mungu mtu.

Pia katiba hii iliyopo imepitwa na wakati imempa Rais mamlaka kiasi kwamba Hakuna mhimili mwenye mamlaka kuhoji hata akifanya ujinga.

Bunge linaweza kumwondoa Rais madarakani, Rais anaweza kulivunja Bunge, sasa basi Bunge likimuondoa Rais madarakani anabaki na cheo cha mwenyekiti wa chama hao wabunge waliomuondoa madarakani mwenyekiti ataitisha kikao na atawafukuza wote chamani na wao ubunge wao utaishia hapo.

Rais anaweza kulivunja Bunge na akateua watu wake kuwa wabunge kupitia uenyekiti wake.

Watanzania siyo madikteta lakini CCM wametengeneza udikteta wenyewe na haifiki 2025 hawajaanza kutwangana wao kwa wao.

Kwa sasa wana Vita ya maneno hii Vita itahamia kwenye vita kamili.
 
Kwa mwenendo ambao unaonekana CCM wanajilazimisha kuwa wapo wamoja jambo ambalo siyo kweli. Na hii inatokea kwa sababu mwenyekiti anaonekana Kama mungu ndani ya chama na hakosei kwa sababu katiba ya CCM inampa mamlaka ya kuwa mungu mtu.

Pia katiba hii iliyopo imepitwa na wakati imempa Rais mamlaka kiasi kwamba Hakuna mhimili mwenye mamlaka kuhoji hata akifanya ujinga.

Bunge linaweza kumwondoa Rais madarakani, Rais anaweza kulivunja Bunge, sasa basi Bunge likimuondoa Rais madarakani anabaki na cheo cha mwenyekiti wa chama hao wabunge waliomuondoa madarakani mwenyekiti ataitisha kikao na atawafukuza wote chamani na wao ubunge wao utaishia hapo.

Rais anaweza kulivunja Bunge na akateua watu wake kuwa wabunge kupitia uenyekiti wake.

Watanzania siyo madikteta lakini CCM wametengeneza udikteta wenyewe na haifiki 2025 hawajaanza kutwangana wao kwa wao.

Kwa sasa wana Vita ya maneno hii Vita itahamia kwenye vita kamili.
Wananchi ndio tunaotakiwa kukataa wenyeviti wa vyama kuwa marais, hivyo tudai hili liwe kwenye katiba.
 
1641539059232.png

Wamekamatana
 
Mkuu nitakubaliana na wewe ukisema kuwa tatizo kubwa kwenye nchi yetu ni CCM. Ukiangalia mteuzi wa wakuu wa Mihimili mingine miwili ni Mwenyekiti wa CCM Taifa. Namaanisha hata Bungeni mchakato wote wa kumpata Spika na Naibu wake unaratibiwa na Chama chini ya Mwenyekiti wake Taifa. Hapo utawezaje kusimama kama Mihimili iliyo huru??

Kuiponya nchi Kwa sasa ni CCM kukaa pembeni wajifunze toka kwa wengine.
 
Badiliko lolote watakalofanya ccm ni hatari ya kifo chao.Ili ccm ilijengwa kwenye misingi ya udikteta ikienda kinyume imekwenda na maji, katiba yao ni lazima mama agombee 2025 shida je atapita?
 
Kwa mwenendo ambao unaonekana CCM wanajilazimisha kuwa wapo wamoja jambo ambalo siyo kweli. Na hii inatokea kwa sababu mwenyekiti anaonekana Kama mungu ndani ya chama na hakosei kwa sababu katiba ya CCM inampa mamlaka ya kuwa mungu mtu.

Pia katiba hii iliyopo imepitwa na wakati imempa Rais mamlaka kiasi kwamba Hakuna mhimili mwenye mamlaka kuhoji hata akifanya ujinga.

Bunge linaweza kumwondoa Rais madarakani, Rais anaweza kulivunja Bunge, sasa basi Bunge likimuondoa Rais madarakani anabaki na cheo cha mwenyekiti wa chama hao wabunge waliomuondoa madarakani mwenyekiti ataitisha kikao na atawafukuza wote chamani na wao ubunge wao utaishia hapo.

Rais anaweza kulivunja Bunge na akateua watu wake kuwa wabunge kupitia uenyekiti wake.

Watanzania siyo madikteta lakini CCM wametengeneza udikteta wenyewe na haifiki 2025 hawajaanza kutwangana wao kwa wao.

Kwa sasa wana Vita ya maneno hii Vita itahamia kwenye vita kamili.
😆😆 Hawana huo ujinga,wanafahamu raha ya kuwa na hizo kofia.Wakikubali huu ushauri manake wakubali na Katiba ya Nchi kubadilishwa.
 
Back
Top Bottom