Mwanapropaganda
JF-Expert Member
- Aug 19, 2014
- 4,235
- 2,501
Kadi ni zao, acha wachome, maana ccm haina jipya.
...Siku hizi mtu akichoma takataka anakamatwa? Si mlisema kuwa kila jumamosi ya mwanzo wa mwezi tufanye usafi? Huo ndo usafi wenyewe sasa!
..... akikujibu kwa usahihi njoo nikupe kolo 10 za mchele wa kyelaKwa mantiki hii unataka kutuambia kuwa zile kadi za CHADEMA au CCM zinazorejeshwa majukwaani zirudishwe kwa chama husika.