Return Of Undertaker
JF-Expert Member
- Jun 12, 2012
- 4,572
- 26,868
Mwenyekiti wa MTAA "anaswa"akihoji Watu km ni WANA CCM wakati wa kujiandikisha kwenye Daftari la WAPIGA KURA.
Baada ya kubanwa sana hatimae kasema WALIPELEKWA SEMINA na hayo ni maagizo ya KATIBU MKUU WA CCM BASHIRU ALLY.
VIONGOZI wa Dini amkeni "kemeeni" Dhambi hii ya Kibaguzi inayooteshwa Nchini.
Mh RAIS MAGUFULI amka kemea Wateule Wako wanaoharibu Nchi uliyoipokea ikiwa na Watu Wamoja na wenye Mshikamano.
HII DHAMBI MNAYOIASISI CCM ipo siku itawarudi km sio nyie basi Watoto Wenu.