Kinachoonekana sasa ni kwa CCM kuitumia nafasi ya ACT Wazalendo kuingia kwenye serikali ya umoja wa kitaifa huko nchini Zanzibar ,CCM kwa kutumia sura mbalimbali inazojivalisha inaonekana inatumia wanachama wake na wa ndani wa vyama husika kutaka kujenga hoja na kuleta fitina ndani ya vyama vya ACT na CHADEMA.
Hizi fitina tuwatake viongozi wetu wasizipe nafasi kupenya na kuingia waanze kuzivunja na mapema kabla hazijaota mizizi ili zisifanikiwe kuuvuruga upinzani unaoonekana kuwa na nguvu zinazoimarika kila siku zinaposonga mbele.
Covid 19 vile vimelea kumi na tisa visivyo na haya na kujipelekesha kiajabu ajabu halafu vikaapishwa kimazingara ,CHADEMA wameshafanya lockdown na kufanya sanitization na sasa CHADEMA ipo salama na vimelea vile,kwa maana wameshafukuzwa uwanachama hili ni suala la kichama na zaid kwamba chama hakihusika na kuwateuwa ,hio ni tofauti kubwa sana ambayo haihusiani kwa aina yeyote ile na ile ya ACT Wazalendo wala hapana ufananisho wala kigezo. Na kubwa ACT wamekiri mchana kweupe kuwa msimamo au msimamo yao kuhusiana na uchaguzi ipo palepale.
CCM wabaya sana.
Hizi fitina tuwatake viongozi wetu wasizipe nafasi kupenya na kuingia waanze kuzivunja na mapema kabla hazijaota mizizi ili zisifanikiwe kuuvuruga upinzani unaoonekana kuwa na nguvu zinazoimarika kila siku zinaposonga mbele.
Covid 19 vile vimelea kumi na tisa visivyo na haya na kujipelekesha kiajabu ajabu halafu vikaapishwa kimazingara ,CHADEMA wameshafanya lockdown na kufanya sanitization na sasa CHADEMA ipo salama na vimelea vile,kwa maana wameshafukuzwa uwanachama hili ni suala la kichama na zaid kwamba chama hakihusika na kuwateuwa ,hio ni tofauti kubwa sana ambayo haihusiani kwa aina yeyote ile na ile ya ACT Wazalendo wala hapana ufananisho wala kigezo. Na kubwa ACT wamekiri mchana kweupe kuwa msimamo au msimamo yao kuhusiana na uchaguzi ipo palepale.
CCM wabaya sana.