CCM ujana ni sifa ya ziada lakini CHADEMA ujana ni maisha yao. Sijajua UVCCM wanafeli wapi?

johnthebaptist

JF-Expert Member
May 27, 2014
83,587
141,385
Ni kawaida sana kumuona diwani, mbunge au Waziri wa CCM akitamba kwamba sasa kazi itafanyika kwa sababu yeye ni kijana.
Na unaweza kukuta hata Kigwangalla au Shinza akijinasibu kwamba yeye ni kijana.

Lakini Chadema vijana hawanaga hizo swaga wao utawatambua kwa matendo yao tu kuwa ni vijana na wakati mwingine unaweza kujisahau ukamwita Sugu kijana kwa zile " pamba" anazopigilia.

Leo asubuhi nimemwona mbunge Nusrat aliyekuwa boss wa Bavicha nikamsahau kabisa nikadhani ni bi Fayza.

Kiukweli Freeman Mbowe ana uwezo mkubwa wa kuwekeza kwa vijana, kijana siyo hadi utuambie kuwa wewe ni kijana yatupasa sisi wenyewe kuliona hilo.

Mtu kama babu Tale anajiita mbunge kijana kuliko wote huku nyumbani ana watoto 7. Ingetosha tu aseme yeye ni mbunge mdogo kwa umri kuliko wote mbona tungemwelewa tu

Jafo naye waziri kijana.

Duh.....niishie hapo.

Kazi Iendelee!
 
Ni kawaida sana kumuona diwani, mbunge au Waziri wa CCM akitamba kwamba sasa kazi itafanyika kwa sababu yeye ni kijana.
Na unaweza kukuta hata Kigwangalla au Shinza akijinasibu kwamba yeye ni kijana.

Lakini Chadema vijana hawanaga hizo swaga wao utawatambua kwa matendo yao tu kuwa ni vijana na wakati mwingine unaweza kujisahau ukamwita Sugu kijana kwa zile " pamba" anazopigilia.

Leo asubuhi nimemwona mbunge Nusrat aliyekuwa boss wa Bavicha nikamsahau kabisa nikadhani ni bi Fayza.

Kiukweli Freeman Mbowe ana uwezo mkubwa wa kuwekeza kwa vijana, kijana siyo hadi utuambie kuwa wewe ni kijana yatupasa sisi wenyewe kuliona hilo.

Mtu kama babu Tale anajiita mbunge kijana kuliko wote huku nyumbani ana watoto 7. Ingetosha tu aseme yeye ni mbunge mdogo kwa umri kuliko wote mbona tungemwelewa tu

Jafo naye waziri kijana.

Duh.....niishie hapo.

Kazi Iendelee!
Mwigulu Nchemba wa 1965 lakini bado anajiita kijana, sijui ukiwa kijina inatusaidia nini kama taifa kama siyo upumbavu, mwisho naona posho ya April bado haijazama mkuu maana bado upo normal kabisa
 
Ni kawaida sana kumuona diwani, mbunge au Waziri wa CCM akitamba kwamba sasa kazi itafanyika kwa sababu yeye ni kijana.
Na unaweza kukuta hata Kigwangalla au Shinza akijinasibu kwamba yeye ni kijana.

Lakini Chadema vijana hawanaga hizo swaga wao utawatambua kwa matendo yao tu kuwa ni vijana na wakati mwingine unaweza kujisahau ukamwita Sugu kijana kwa zile " pamba" anazopigilia.

Leo asubuhi nimemwona mbunge Nusrat aliyekuwa boss wa Bavicha nikamsahau kabisa nikadhani ni bi Fayza.

Kiukweli Freeman Mbowe ana uwezo mkubwa wa kuwekeza kwa vijana, kijana siyo hadi utuambie kuwa wewe ni kijana yatupasa sisi wenyewe kuliona hilo.

Mtu kama babu Tale anajiita mbunge kijana kuliko wote huku nyumbani ana watoto 7. Ingetosha tu aseme yeye ni mbunge mdogo kwa umri kuliko wote mbona tungemwelewa tu

Jafo naye waziri kijana.

Duh.....niishie hapo.

Kazi Iendelee!
Hii inathibitisha kuwa dunia inaenda kasi Sana,kwa kukiri hilo.Chukua pepsi hapo kwa mangi bill yangu.
 
Ni kawaida sana kumuona diwani, mbunge au Waziri wa CCM akitamba kwamba sasa kazi itafanyika kwa sababu yeye ni kijana.
Na unaweza kukuta hata Kigwangalla au Shinza akijinasibu kwamba yeye ni kijana.

Lakini Chadema vijana hawanaga hizo swaga wao utawatambua kwa matendo yao tu kuwa ni vijana na wakati mwingine unaweza kujisahau ukamwita Sugu kijana kwa zile " pamba" anazopigilia.

Leo asubuhi nimemwona mbunge Nusrat aliyekuwa boss wa Bavicha nikamsahau kabisa nikadhani ni bi Fayza.

Kiukweli Freeman Mbowe ana uwezo mkubwa wa kuwekeza kwa vijana, kijana siyo hadi utuambie kuwa wewe ni kijana yatupasa sisi wenyewe kuliona hilo.

Mtu kama babu Tale anajiita mbunge kijana kuliko wote huku nyumbani ana watoto 7. Ingetosha tu aseme yeye ni mbunge mdogo kwa umri kuliko wote mbona tungemwelewa tu

Jafo naye waziri kijana.

Duh.....niishie hapo.

Kazi Iendelee!
Bwasheee vp Palamagamba yupo au naye kawa kama Bashiru?
 
Jamaa wewe na vistori vyako. Mpaka Lissu alipotamka yeye mwenyewe ana miaka 52 mimi kada mfuasi wake mwandamizi nilikuwa najua hafikishi hata miaka 45. Kutokana na swagga zake kila siku kuburuzana na polisi, kukatiza vichaka kukimbizana na wasiojulikana.
 
Jamaa wewe na vistori vyako. Mpaka Lissu alipotamka yeye mwenyewe ana miaka 52 mimi kada mfuasi wake mwandamizi nilikuwa najua hafikishi hata miaka 45. Kutokana na swagga zake kila siku kuburuzana na polisi, kukatiza vichaka kukimbizana na wasiojulikana.
Aisee umefanya siku yangu kunoga sana!
 
Ni kawaida sana kumuona diwani, mbunge au Waziri wa CCM akitamba kwamba sasa kazi itafanyika kwa sababu yeye ni kijana.
Na unaweza kukuta hata Kigwangalla au Shinza akijinasibu kwamba yeye ni kijana.

Lakini Chadema vijana hawanaga hizo swaga wao utawatambua kwa matendo yao tu kuwa ni vijana na wakati mwingine unaweza kujisahau ukamwita Sugu kijana kwa zile " pamba" anazopigilia.

Leo asubuhi nimemwona mbunge Nusrat aliyekuwa boss wa Bavicha nikamsahau kabisa nikadhani ni bi Fayza.

Kiukweli Freeman Mbowe ana uwezo mkubwa wa kuwekeza kwa vijana, kijana siyo hadi utuambie kuwa wewe ni kijana yatupasa sisi wenyewe kuliona hilo.

Mtu kama babu Tale anajiita mbunge kijana kuliko wote huku nyumbani ana watoto 7. Ingetosha tu aseme yeye ni mbunge mdogo kwa umri kuliko wote mbona tungemwelewa tu

Jafo naye waziri kijana.

Duh.....niishie hapo.

Kazi Iendelee!
Una maana Jafo vipusa wanne?!😂😂! Baptist Wewe mbaya!
 
CCM wanapenda kujiita majina ambayo hayasadifu maisha yao. Hata mzee mgaya anajiita kijana.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom