johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,587
- 141,385
Ni kawaida sana kumuona diwani, mbunge au Waziri wa CCM akitamba kwamba sasa kazi itafanyika kwa sababu yeye ni kijana.
Na unaweza kukuta hata Kigwangalla au Shinza akijinasibu kwamba yeye ni kijana.
Lakini Chadema vijana hawanaga hizo swaga wao utawatambua kwa matendo yao tu kuwa ni vijana na wakati mwingine unaweza kujisahau ukamwita Sugu kijana kwa zile " pamba" anazopigilia.
Leo asubuhi nimemwona mbunge Nusrat aliyekuwa boss wa Bavicha nikamsahau kabisa nikadhani ni bi Fayza.
Kiukweli Freeman Mbowe ana uwezo mkubwa wa kuwekeza kwa vijana, kijana siyo hadi utuambie kuwa wewe ni kijana yatupasa sisi wenyewe kuliona hilo.
Mtu kama babu Tale anajiita mbunge kijana kuliko wote huku nyumbani ana watoto 7. Ingetosha tu aseme yeye ni mbunge mdogo kwa umri kuliko wote mbona tungemwelewa tu
Jafo naye waziri kijana.
Duh.....niishie hapo.
Kazi Iendelee!
Na unaweza kukuta hata Kigwangalla au Shinza akijinasibu kwamba yeye ni kijana.
Lakini Chadema vijana hawanaga hizo swaga wao utawatambua kwa matendo yao tu kuwa ni vijana na wakati mwingine unaweza kujisahau ukamwita Sugu kijana kwa zile " pamba" anazopigilia.
Leo asubuhi nimemwona mbunge Nusrat aliyekuwa boss wa Bavicha nikamsahau kabisa nikadhani ni bi Fayza.
Kiukweli Freeman Mbowe ana uwezo mkubwa wa kuwekeza kwa vijana, kijana siyo hadi utuambie kuwa wewe ni kijana yatupasa sisi wenyewe kuliona hilo.
Mtu kama babu Tale anajiita mbunge kijana kuliko wote huku nyumbani ana watoto 7. Ingetosha tu aseme yeye ni mbunge mdogo kwa umri kuliko wote mbona tungemwelewa tu
Jafo naye waziri kijana.
Duh.....niishie hapo.
Kazi Iendelee!