VUVUZELA
JF-Expert Member
- Jun 19, 2010
- 3,103
- 785
Haya wadau wa CCM ughaibuni na vijimatawi vyenu uchwara mko wapi? Mbona kimyaaaa?
Wananchi bongo wameshaanza kutia akili na kubadilika na ninyi mlio ughaibuni tulitegemea ndio mtakuwa wa kwanza kubadilika kutokana na exposure mnayoipata mkiwa nje ya nchi lakini njaa zenu zinawasumbua na kuendelea kudanganya na Chama Cha Mafisadi. Huu ni mwanzo tu 2015 hamtopata hata udiwani.
Endeleeni na ujinga wenu. Muendelee na schedule ya Boksi na kujipendekeza CCM manake mtaonwa na mtapewa ukuu wa wilaya. Boksi halina ujanja, SHWAINIIII NYIE
Wananchi bongo wameshaanza kutia akili na kubadilika na ninyi mlio ughaibuni tulitegemea ndio mtakuwa wa kwanza kubadilika kutokana na exposure mnayoipata mkiwa nje ya nchi lakini njaa zenu zinawasumbua na kuendelea kudanganya na Chama Cha Mafisadi. Huu ni mwanzo tu 2015 hamtopata hata udiwani.
Endeleeni na ujinga wenu. Muendelee na schedule ya Boksi na kujipendekeza CCM manake mtaonwa na mtapewa ukuu wa wilaya. Boksi halina ujanja, SHWAINIIII NYIE