Powder
JF-Expert Member
- Jan 6, 2016
- 4,417
- 5,441
Kina Change na wengine ni Wasafi?Hatuwezi kunyamazia ufisadi na ujangili
Kina Change na wengine ni Wasafi?Hatuwezi kunyamazia ufisadi na ujangili
No. Alikuwa anamwambia jingalao hapo juu, siyo wewe. Kada flani maarufu wa Lumumba hapa JFNikamate na unishtaki
kwa hiyo nchi itaendelea kuwa masikini miaka 50 ijayoKwa miaka 50 ijayo CCM bado itaendelea kuongoza Tanzania...huku ikiendelea kuwa Chama adui kwa mafisadi na majangili ambao wanapata hifadhi chadema
Nimeona. Huyo aliyeambiwa nimemignore. Sikuona mchango wake.No. Alikuwa anamwambia jingalao hapo juu, siyo wewe. Kada flani maarufu wa Lumumba hapa JF
Wakihamia Chadema mtawapokea?Kina Change na wengine ni Wasafi?
Leo Wakina seth n'a ruge mmewabana lkn nakumbuka kuna kiongozi fulani wa Nchi mkubwa wakati ule alisema fedhazile Siyo za umma na ipo Siku huyo bwana mkubwa ataitwa Kama shahidi mahakamani na hapo kesi itakuwa imekwishaAliyehusika na wizi wa Richmond mlipa wadhifa gani huko chadema?
Chadema ya leo ijiweke mbali kuongelea ufisadi kwa kuwa imegeuka kuwa chaka kuu la ufisadi na ujangili
Ile jinai ya Ndugai ilishughulikiwaje?Serikali inapowashughulikia mafisadi mnakuja na sound za issues za visasi!!
Huyo kiongozi mkubwa wala hayuko mbali, msoga tu pale.Leo Wakina seth n'a ruge mmewabana lkn nakumbuka kuna kiongozi fulani wa Nchi mkubwa wakati ule alisema fedhazile Siyo za umma na ipo Siku huyo bwana mkubwa ataitwa Kama shahidi mahakamani na hapo kesi itakuwa imekwisha
Ova
Mguseni CHENGE au hana tuhuma siku hizi?Serikali inapowashughulikia mafisadi mnakuja na sound za issues za visasi!!
Badala ya kujibu swali unauliza swali lingine.....sio kila mtu ni mpenzi wa Chadema.Wakihamia Chadema mtawapokea?
Toka waseme wamefungua mahakama ya mafisadi hatujaona yeyote akipekekwa huku,tanroad imejaa ufisadi wa kutisha hatujawahi kusikia hata siku moja malaika akiwasema tanroad kwa ufisadi,kila mwaka ripoti ya CAG inataka ufisadi huko au huko kunaishi wasafi tu.Nawaandikia viongozi na wanachama wa Chama cha Mapinduzi (CCM). Nawaandikia kuwaambia kuwa siku si nyingi tutawapuuza kwa kila mnalolisema au kulitenda. Hii tabia ya kukaa na mafisadi na majizi kwenye chama chenu hadi wahame au waachane na siasa ndiyo muwanyooshee vidole na kuwasema si sawa.
Uzuri wenu CCM ndiyo mnaounda Serikali. Mna kila uwezo, kama kuna nia pia, ya kuwachunguza, kuwabaini na kuwashughulikia mafisadi na majizi yote yaliyopo kwenye chama chenu. Kwakuwa mmekuwa madarakani tangu kuanzishwa kwenu mwaka 1977, hamuwezi kusema kuna mahali kuna majizi mengi kuliko nyinyi kwakuwa mko wengi.
Rais Magufuli ambaye ni Mwenyekiti wenu wa Taifa wa CCM aliingia madarakani, pamoja na sera nyinginezo, na sera ya kupambana na kuyashughulikia mafisadi na majizi yote ya hapa Tanzania. Sera yake hiyo, ikiwa ni pamoja na kuundwa kwa Mahakama ya Mafisadi, iliwavutia watanzania waliokuwa wamechoshwa na ufisadi na kumchagua Magufuli kwa wingi wao.
CCM mnapaswa kumsaidia Rais Magufuli kwa matendo katika vita dhidi ya mafisadi na majizi ya mali za umma. Msaidieni Rais kuwabaini, kuwachunguza na kuwashughulikia mafisadi wote waliopo CCM hivi sasa ili kama usafi uanzie ndani ya CCM. Kungoja hadi mwanasiasa ahame CCM na nyinyi kuanza kumsema kuwa ni fisadi na mwizi ni utapeli wa hali ya juu.
CCM, kuweni serious na mambo yenu. Kuaminika kwenu kunategemea na mnayoyasimamia na kuyafanya sasa. Pia, mnapaswa kujibu kichama mapigo yote ya wanaohama bila ya kuwategemea wasomi makada na watawala kuwajibu wanaoibua maswala ya kichama zaidi. Nasema tena, mafisadi na majizi yote yaliyopo CCM yashughulikiwe sasa. Au mseme wazi sasa kuwa ndani ya CCM hakuna mafisadi au majizi.
Msipowashughulikia sasa mafisadi na majizi hadi msubiri wahame au wajiuzulu, tutawapuuza na kuwaona matapeli, walaghai na watu wa propaganda. Muda wa kuwashughulikia mafisadi ma majizi ndani na nje ya CCM ni sasa katika kuunga mkono sera ya Rais wetu na mwenyekiti wenu Dr. John Pombe Magufuli.
Ungewaandikia hao wanaowapokea ungekuwa umetenda jambo jema sanaNawaandikia viongozi na wanachama wa Chama cha Mapinduzi (CCM). Nawaandikia kuwaambia kuwa siku si nyingi tutawapuuza kwa kila mnalolisema au kulitenda. Hii tabia ya kukaa na mafisadi na majizi kwenye chama chenu hadi wahame au waachane na siasa ndiyo muwanyooshee vidole na kuwasema si sawa.
Vipi tanroad miaka yote CAG anatoa ripoti ya ufisadi mbna hatujawahi kusikia amekamatwa mtu kutoka huku,au malaika hajui kma kuna tanroad kichaka cha rushwa,shubamiiit kumbafuuu zenuHatuwezi kunyamazia ufisadi na ujangili