Lancashire
JF-Expert Member
- Sep 20, 2014
- 14,045
- 10,329
Habari za weekend mabibi na mabwana,
Kumezuka wimbi la wahamiaji kutoka upande wa wenzetu wakijinasibisha kuielewa sana itikadi ya chama chetu ni jambo zuri sana kwa chama chochote cha siasa kupata wanachama.
Lakini mimi kama mwana CCM kada ambaye sijayumba toka niipokee kadi yangu mwaka 1998 Julai makao makuu ya chama Dodoma nachelea kuwatahadharisha viongozi wangu kuwa makini sana na hawa wanaorudi CCM kwa kuridhishwa na sera na utendaji wa Rais Magufuli.
Itikadi au imani ya chama haijengwi kwa siku moja au mbili. Nina uhakika kati ya hawa waliotangaza kujiunga na CCM tukiamua kufanya hata msako wa kushtukiza katika majumba yao au ofisi wanazofanyia kazi hakuna hata mmoja tutakayemkuta na ilani ya Chama Chama Mapinduzi au documents yeyote inayomtambulisha kama mwana CCM.
Natoa tahadhari kuwa makini na hawa wanachama wa kukodi.
Jumapili Njema:
Kumezuka wimbi la wahamiaji kutoka upande wa wenzetu wakijinasibisha kuielewa sana itikadi ya chama chetu ni jambo zuri sana kwa chama chochote cha siasa kupata wanachama.
Lakini mimi kama mwana CCM kada ambaye sijayumba toka niipokee kadi yangu mwaka 1998 Julai makao makuu ya chama Dodoma nachelea kuwatahadharisha viongozi wangu kuwa makini sana na hawa wanaorudi CCM kwa kuridhishwa na sera na utendaji wa Rais Magufuli.
Itikadi au imani ya chama haijengwi kwa siku moja au mbili. Nina uhakika kati ya hawa waliotangaza kujiunga na CCM tukiamua kufanya hata msako wa kushtukiza katika majumba yao au ofisi wanazofanyia kazi hakuna hata mmoja tutakayemkuta na ilani ya Chama Chama Mapinduzi au documents yeyote inayomtambulisha kama mwana CCM.
Natoa tahadhari kuwa makini na hawa wanachama wa kukodi.
Jumapili Njema: