SAGAI GALGANO
JF-Expert Member
- Nov 13, 2009
- 43,707
- 60,756
CCM askofu Gwajima amewashika pabaya hamumuwezi atawapelekesha sana
BAVICHA mnaumiaje na mambo yanayotokea CCM?Ntashangaa president Samia na Mohamed mcherenga , na Shaka , na mkuu wa TISS, Kama wataacha kumshughulikia huyu taperi mmoja asiye na heshima kwa mamlaka,
Wakimuacha wajiandae atafanya upuuzi na dharau zaidi ya hizo..
Gwajima inatakiwa itumike namna Kama yakufuta maandishi kwenye kitabu, azimwe tu, Ni mtu hatari sana
Wahutu kwa kujitutumua,eti hii nguchiro nayo inajiita Msukuma,pambaf!Kumekucha!
Gwajima na wale wa Tozo za miamala: bila shaka Madelu na Jobo, sasa ni rasmi watakuwa wuamekalia Kuti Kavu:
View attachment 1869356
Kwamba mama keshatoa msimamo na wao wanajifanya vidume? Wao wanadinda na kutoa misimamo yao kwa maslahi binafsi?
Utovu mkubwa huu wa nidhamu kwa madam president ambaye pia ndiye mwenyekiti wa CCM hauvumiliki tena.
Tayari wako kwenye notice.
--------
My take:
Marudio ya sinema ya Diallo na Msukuma yanaonekana yako karibu.
View attachment 1869368
Tusubiri sasa moto faya tokea kwake Chief Msukuma mzee wa mipasho.
Suala la chanjo ya UVIKO ni ajenda ya ulimwengu mzima.
Kila atakayerefusha mdomo kuipinga huishia kufa au kuanguka publically.
Kuna mawili...
1) Utafutwa ubunge
2. Utauliwa.
Kaa hivyo ivyo na kudhania kwako kuwa kila mtu yupo kwenye mavyama hayoBAVICHA mnaumiaje na mambo yanayotokea CCM?
Mropokaji tu huyu, atakubali kufa wapi??!!Is he ready to die for what he believes in?
Most of the time, but this time I think he's serious...Mropokaji tu huyu, atakubali kufa wapi??!!