kitalolo JF-Expert Member Dec 4, 2006 1,827 707 Apr 4, 2012 #1 Na mkitunyima tunafungua bendi si unaona tuna vipaji vya kutosha? Global Publishers
Gwankaja Gwakilingo JF-Expert Member Jan 26, 2012 1,996 615 Apr 4, 2012 #2 Huruma yetu ni kuwapiga chini tu vinginevyo tuwashitaki kwa ocampo mnataka lipi sasa
Rutashubanyuma JF-Expert Member Sep 24, 2010 219,470 911,173 Apr 4, 2012 #3 huruma yetu ni kuwafuta kibarua khalafu mtajipanga upy kwa kuachana na siasa za kulindana na kupendeleana.......
huruma yetu ni kuwafuta kibarua khalafu mtajipanga upy kwa kuachana na siasa za kulindana na kupendeleana.......
Safety last JF-Expert Member Mar 24, 2011 4,227 1,389 Apr 4, 2012 #4 Huruma yetu ni kuwageuza upinzani 2015
monongo JF-Expert Member Oct 25, 2011 388 64 Apr 4, 2012 #6 CCm tumezidi kulinda majizi kwa kuyajengea hoja zisizosomeka,Akilini mwa watu, ngoja tutandikwe fimbo za tumboni. Ndipo tutakapo kumbuka shuka asubuhi.
CCm tumezidi kulinda majizi kwa kuyajengea hoja zisizosomeka,Akilini mwa watu, ngoja tutandikwe fimbo za tumboni. Ndipo tutakapo kumbuka shuka asubuhi.
C Chademason Member Apr 2, 2012 65 8 Apr 4, 2012 #8 Hawa jamaa wa ccm hawataki kwenda shule maana siasa wamezigeuza mtaji na hasa hilo ndio tatizo kubwa.
Hawa jamaa wa ccm hawataki kwenda shule maana siasa wamezigeuza mtaji na hasa hilo ndio tatizo kubwa.
Kilasara JF-Expert Member Dec 21, 2008 577 116 Apr 4, 2012 #9 Kama CCM mmeishiwa sera, pendekezeni kwa uongozi wenu mhamie CDM. Hawa wanabubujika sera na ni wabunifu kibao. CDM watahitaji baadhi yenu mjiunge nao ili wachukue dola 2015. Watakaojiunga nao mapema wanaweza kuukwaa uongozi enzi yao ikiwadia. 'Ukikaa na waridi, hatimae unanukia'!!!!!!!
Kama CCM mmeishiwa sera, pendekezeni kwa uongozi wenu mhamie CDM. Hawa wanabubujika sera na ni wabunifu kibao. CDM watahitaji baadhi yenu mjiunge nao ili wachukue dola 2015. Watakaojiunga nao mapema wanaweza kuukwaa uongozi enzi yao ikiwadia. 'Ukikaa na waridi, hatimae unanukia'!!!!!!!