Tulimumu
JF-Expert Member
- Mar 11, 2013
- 14,305
- 12,968
Hapo umenena mwanaccm mwenzangu. Ile ya Geita iwe ni somo tosha kwa ccm. Ukiangalia zile picha wanawake wa ccm utadhani wapo msibani jinsi walivyonywea na nyuso kuwa shuka. Kama unakimbia peke yako kila siku utajiona mshindi mpaka siku utakapokimbia na wenzako ndio utajua kuwa wewe si lolote.
CCM bila polisi hakuna kitu. Ukiitenga ccm na polisi basi imeshakufa. Sasa hicho ni chama gani kinachoishi kwa kushikiliwa na polisi kila siku?
Sent using Jamii Forums mobile app
CCM bila polisi hakuna kitu. Ukiitenga ccm na polisi basi imeshakufa. Sasa hicho ni chama gani kinachoishi kwa kushikiliwa na polisi kila siku?
Sent using Jamii Forums mobile app