Mulhat Mpunga
JF-Expert Member
- Oct 28, 2010
- 27,263
- 16,287
k
huyu akija kwangu atgakiona cha mtemakuni anatutia hasara alikataa ubunge sasa anaomba ubunge mapesa haya yote ni sababu ya ubinafsi wa ccm akienda kwa wananchi anawaambia nini watza tumekuwa wapole ndo maana mnatuchezea aje nyumba za wazaleondo akione cha mtemakuni mbu.zi maweKatika uchaguzi wa kinondoni tusitegemee siasa za majukwaani, tufanye siasa za nyumba kwa nyumba kila mtaa na ubalozi upite mlango kwa mlango wakihimiza watu kupiga kura, pia gaweni commitment form kila mtu ajaze anatarajia nini kutoka kwa mbunge wake ili kujua nini hasa hitaji la wana kinondoni, unaweza dhani shida yao ni barabara kumbe shida yao ni usumbufu wa vibaka, ukosefu wa soko na kukosekana maegesho ya bodaboda,