mi naona tuendelee hivyo hivyoWakuu kinachoendelea bungeni Ni kituko.
Yaani Bunge limepoa wananchi wamelisusia mazima hakuna mtu mwenye time na hilo Bunge.
Ndugai nae kaona hiyo hali sahivi amejifanya KUB(kiongozi wa upinzani)
Tuliambiwa wapinzani walichelewesha maendeleoa,lakini hadi sahivi wananchi hawaoni ayo maendeleoa.
Kuna wabunge kina Msukuma na Kibajaji walipata umaarufa kwa kurusha vijembe kwa wapinzani sahivi hawana mtu wa kuwarushia vijembe maana hakuna upinzani Bungeni.
Bunge limedoda kwelikweli, CCM tuambieni mnatamani na 2025 muwe peke yenu au mmeshawamiss wapinzani wenu Bungeni