Salary Slip
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 46,998
- 144,339
Jamani hawa watu mnawaelewaje?
Leo wazungu wamegeuka malaika?
Leo hii mabeberu wamekuwa fair?
Na je,kesho wazungu wakija na tamko la kulaani yanayoendelea hapa nchini, mtawaita tena ni mabeberu?
Je, si hawa walisema ziara ya Lissu inafadhiliwa na mabeberu?
Imekuwaje hao wanaomfadhili Lissu leo hii wawe fair katika kumuhoji Lissu?
Alafu kama mnaamini mahijioano yamekuwa fair, mbona bado roho zinawauma kwa Lissu kuendelea na ziara yake huko Ulaya?
Nyie watu mbona mko kama popo?!
Leo wazungu wamegeuka malaika?
Leo hii mabeberu wamekuwa fair?
Na je,kesho wazungu wakija na tamko la kulaani yanayoendelea hapa nchini, mtawaita tena ni mabeberu?
Je, si hawa walisema ziara ya Lissu inafadhiliwa na mabeberu?
Imekuwaje hao wanaomfadhili Lissu leo hii wawe fair katika kumuhoji Lissu?
Alafu kama mnaamini mahijioano yamekuwa fair, mbona bado roho zinawauma kwa Lissu kuendelea na ziara yake huko Ulaya?
Nyie watu mbona mko kama popo?!