CCM tuachie madaraka kwa amani

Ujasusi wenu I don't care, We don't care we are ready to go. Fungueni njia na mjifunze kuachia madaraka katika hali amani na utulivu. Msipo fanya hivyo kwa uchu wa madaraka mlio nao mtaiingiza nchi katika machafuko. Ambao itawafanya wengi wenu kutafuta hifadhi ya ukimbizi kimsingi msipende mfikio hapo kwani mabadiliko lazima yawepo na siyo ombi.
Mnakumbuka CCM ilikuwa ina kiongozi wake wa propoganda Tabwe hiza baadae wakakifuta hiki cheo. Tabwe propoganda zake zilikuwa za kutumia mdomo, kubwabwaja bwabwaja.
Kwa sasa CCM wapo kisayansi zaidi. Na hii kazi waliyo nayo anaiweza msomali zaidi. Nani asiyejua wasomali ni watu wa namna gani.
Napenda kuwaambia CCM, andaeni risasi za moto kwani amta weza kuua wote wakati kila mtu ana hari ya mageuzi.
Alafu msijifanye na nyinyi wakoloni mpaka tubembelezane ndio muondoke. Someni alama za nyakati. Mwana CCM ukiwa mbishi basi wewe ni chizi.
Wananchi tunataka mabadiliko aijalishi kitu gani. Nyinyi kila idara imewashida toka nchi inapata uhuru sasa mmekuja kivingine kutoa makucha, meno na sasa mmeanza na jicho. Tunategemea kutolewa roho na nyinyi wana wa hizaha. Ila mageuzi ya utawala lazima. Kila kijana, watu wazima tupo katika itikadi ya mageuzi. Nia yetu kubwa ni kuwatoa nyinyi ambao toka uhuru hamna la maana mlililifanya zaidi ya ufisadi papa mlio nao na ufinyu wa mawazo pia kukosa ujasiri, uzalendo wa kuwajibishana. Sera yenu kubwa ni ya kulindana.
Shame on all CCM members
 
CCM iwarudishe Wazee katika nafasi zao kama washauri. Tangu wawaondoe ndo tunasikia na kuona haya tuyaonayo. I dont think people like Mzee Mwinyi, Mkapa, Malecela, Msuya, and other elders could endorse the use of mafia against the media and upinzani. Hekima iliyo CCM sasa ni ile ya Mwigulu na Nape! Poor CCM! Rudisheni wazee kabla mtumbwi wenu haujaishia kuzama.
 
It's too late hata wakifanyaje muda wao ulishaandikwa kwenye mbao za Mussa ...ugonjwa utibika lakini mauti hayana tiba.
 
Ushauri kama huu ni mzuri. Mageuzi ni muhimu ikiwa ni kwa njia ya amani. Ghana na nchi nyingine wamefanya, na ilo limewajengea heshima. Ninachokiona magamba wamezamilia kumwanga mboga na ugari (pesa wamejikusanyizia za kutosha na amani wanataka waivuruge).

Kwa taarifa yao, amani ikitoweka hakuna wakujihakikishia usalama. Si ajabu vurugu zikaanzia nyumbani kwao, visima vyao vya mafuta na majumba yao ya vitega uchumi.

Sisi sote ni.watanzani, chama kitakachokubaliwa kuchukua dola 2015 kiichukue kwa amani.

Wito wangu kwa polisi na tiss, mchezo wa uvamizi kwa waandishi na wanasiasa ukome la sivyo wajue tunakoelekea siko.
 
Sikio la kufa halisikii dawa ccm hata ipigiwe je kelele haibadiliki na hii ni ishara mojawapo kubwa na ya kwanza ya kujionyesha kuwa wameshindwa na sasa ni wakati wa kujiandaa kuikabidhi nchi kwa amani
 
Ujasusi wenu I don't care, We don't care we are ready to go. Fungueni njia na mjifunze kuachia madaraka katika hali amani na utulivu. Msipo fanya hivyo kwa uchu wa madaraka mlio nao mtaiingiza nchi katika machafuko. Ambao itawafanya wengi wenu kutafuta hifadhi ya ukimbizi kimsingi msipende mfikio hapo kwani mabadiliko lazima yawepo na siyo ombi.
Mnakumbuka CCM ilikuwa ina kiongozi wake wa propoganda Tabwe hiza baadae wakakifuta hiki cheo. Tabwe propoganda zake zilikuwa za kutumia mdomo, kubwabwaja bwabwaja.
Kwa sasa CCM wapo kisayansi zaidi. Na hii kazi waliyo nayo anaiweza msomali zaidi. Nani asiyejua wasomali ni watu wa namna gani.
Napenda kuwaambia CCM, andaeni risasi za moto kwani amta weza kuua wote wakati kila mtu ana hari ya mageuzi.
Alafu msijifanye na nyinyi wakoloni mpaka tubembelezane ndio muondoke. Someni alama za nyakati. Mwana CCM ukiwa mbishi basi wewe ni chizi.
Wananchi tunataka mabadiliko aijalishi kitu gani. Nyinyi kila idara imewashida toka nchi inapata uhuru sasa mmekuja kivingine kutoa makucha, meno na sasa mmeanza na jicho. Tunategemea kutolewa roho na nyinyi wana wa hizaha. Ila mageuzi ya utawala lazima. Kila kijana, watu wazima tupo katika itikadi ya mageuzi. Nia yetu kubwa ni kuwatoa nyinyi ambao toka uhuru hamna la maana mlililifanya zaidi ya ufisadi papa mlio nao na ufinyu wa mawazo pia kukosa ujasiri, uzalendo wa kuwajibishana. Sera yenu kubwa ni ya kulindana.
Shame on all CCM members

Mkuu nikupongeze kwa uchambuzi yakinifu, ni dhahiri ujumbe umefika na wameupata kwa mda muafaka kwani tunao humu humu.
Ushauri wangu ni kwamba wasome alama za nyakati; Hizi move zote tuzionazo ni dalili za anguko kubwa la serikali dhalimu. Mabadiliko yanatokea automatically hawawezi kuyazuia, wako wapi akina Idd-amin, Mbarak, Gadaf, Charles Tylor, Mabout Seseseko, Moi na wengine wengi. Take it from CCM tutaizika rasmi 2015 na haitafufuka tena.
 
Hofu inaendelea kunipata na mwenendo huu wa nchi yetu.


KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom