Ni wakati wa CCM to provide leadership. Lazima mfumo wa sasa ubaki ili kuunusuru muungano. Mengine ni ukorofi tu! Dola inaweza kuwadhibiti wahuni wanaotaka kuvunja nchi. Ni kosa la uhaini kuhubiri sehemu ya kujitenga! Haikubaliki duniani kote. Washabiki wa CCM watulie mambo 'yatadhibitiwa'