Chama cha mapinduzi (CCM) kimeendelea kung'ara na kuteka hisia za wananchi wa jimbo la Arumeru hali inayokipa wakati mgumu CHADEMA. Baada ya viongozi wakuu wa chama hicho kukumbwa na shutuma za kifisadi hali ndani ya kamati kuu ya uongozi si nzuri na hiyo imesababisha Viongozi wa chama hicho kushindwa kupanga mikakati ya ushindi ya chama hicho na kuelekeza nguvu katika kujibu tuhuma ama kuficha uthibitisho wa tuhuma zinazowakabili.
Upepo wa kisiasa unaovuma jimboni arumeru unaweza kukifanya Chadema kupoteza mtaji wa kura ilizinazo kama CUF ilivyofanya kule Igunga. Aidha Chama cha TLP kinaendelea na kampeni zake vizuri na dalili zote zinaonekana kitashika nafasi ya pili wakati CCM kikishinda uchaguzi huo.
Updates
SAU wazindua kampeni kwa kishindo Arumeru east wazidi kupunguza nguvu ya upinzani
Upepo wa kisiasa unaovuma jimboni arumeru unaweza kukifanya Chadema kupoteza mtaji wa kura ilizinazo kama CUF ilivyofanya kule Igunga. Aidha Chama cha TLP kinaendelea na kampeni zake vizuri na dalili zote zinaonekana kitashika nafasi ya pili wakati CCM kikishinda uchaguzi huo.
Updates
SAU wazindua kampeni kwa kishindo Arumeru east wazidi kupunguza nguvu ya upinzani