President Elect
JF-Expert Member
- Aug 9, 2011
- 693
- 212
CCM ndio chama kikubwa na kikongwe zaidi nchini Tanzania - Grand Old Party (GOP).
Je CCM imefeli katika kuzikonga nyoyo za wananchi wetu wazalendo wa Taifa hili? Kama jibu ni 'ndio', basi uongozi wa juu una wajibu wa kulijua hilo na kurekebisha hali ya mwamko wa siasa ili kugusa dhamira na matakwa ya wananchi, huku wakifahamu wananchi wanataka nini.
Kama jibu ni 'sio', basi isibweteke, bali iongeze juhudi zaidi katika kulinda mafanikio yaliyoletwa na CCM kwa mustakabali wa maendeleo ya taifa letu la Tanzania.
Kidumu Chama Cha Mapinduzi!
Je CCM imefeli katika kuzikonga nyoyo za wananchi wetu wazalendo wa Taifa hili? Kama jibu ni 'ndio', basi uongozi wa juu una wajibu wa kulijua hilo na kurekebisha hali ya mwamko wa siasa ili kugusa dhamira na matakwa ya wananchi, huku wakifahamu wananchi wanataka nini.
Kama jibu ni 'sio', basi isibweteke, bali iongeze juhudi zaidi katika kulinda mafanikio yaliyoletwa na CCM kwa mustakabali wa maendeleo ya taifa letu la Tanzania.
Kidumu Chama Cha Mapinduzi!