omujubi
JF-Expert Member
- Dec 6, 2011
- 4,325
- 2,498
ukweli unauma lakini ni mzuri sana kwa aslili yake!hamuwapendi wenzenu; gari likishaharibika haijalishi dereva anayeendesha ana ujuzi gani
Hilo gari ndilo gari ndilo tumepanda lakini hakuna jinsi bali ni kuwa kama ile advert ya 'airtel'