Mwanahabari Huru
JF-Expert Member
- Mar 9, 2015
- 14,243
- 34,898
CCM Tarime wameanda ziara ya N/W TAMISEMI, Waitara na M/kiti UVCCM-Taifa, Kheri James baada ya kusikia Esther Matiko atapokelewa ijumaa (jana) na kufanya mkutano wa hadhara ili anyimwe kibali; sababu? N/waziri ana mkutano. Esther kahairisha nao wamehairisha wanasubiri Jumapili