CCM Taifa ya JK ilivyoisambaratisha CCM Mbeya ili tu kumkabili Prof Mark Mwandosya.

Sasa narudi kwako mkuu.

Toka hata kabla ya uhuru, rais aliyetembelea vyema hadi vijijini huko Mbeya ni Mwalimu.

Mwalimu ana kumbukwa hata alipotembelea kijijini kwetu Mpuguso kabla ya uhuru.

Babu yangu ananihadithia jinsi alipoenda kuongea na wanafunzi, wananchi na machifu pale Mpuguso.
Na Mwalimu alishiriki kula kyindi, ugali wa dona pamoja na babu yangu pale shuleni, middle school Mpuguso.

Baada ya uhuru, Mwalimu alihakikisha barabara ya Tanzania ~Zambia, ile ya Malawi zinajengwa.

Viwanda vya chai, hasa kile cha Katumba, kiwanda cha Zana Za Kilimo~Iyunga, Kiwanda cha nguo Songwe, Kiwanda cha simenti na viwanda vingi vidogo vidogo.
Vyote alileta Mwalimu.
Na hilo maana yake ajira.

Hebu nijulishe Allen Kilewella, Mwinyi alitufanyia nini?
Nothing, pamoja na ahadi kedekede.
Mkapa je?
Yeye ndo akaviuza kabisa hata vile viwanda vichache, na ajira kwishney.
Si mbaya sana kwa vile hili lilikuwa tatizo la nchi nzima.

Vijana wakaanza kuwa disilludioned, CCM ILIANZA taratibu kukosa unaarufu.
Nyerere hayupo tena!
Mwandosya akaonekana kuwa hope, maana alipokuwa waziri wa Uchukuzi ingalau alishawishi serikali kujenga uwanja mpya wa ndege Songwe.
That was a spark of hope.

KOSA!
Mwandosya kugombea urais!
Hapo all hell broke loose.

JK na mtandao walirusha kila aina ya dongo, mara mtoto wake kasomeshwa na makumpuni ya simu.

Mwisho mtandso wakaona waivuruge kabisa base ya huyu Prof.
Na base hiyo ni CCM Mbeya.
The rest you know.

Lakini tunafarijika maana licha ya vijana wa CHADEMA kumfanyia fujo JPM, yeye haangalii hilo, kaonyesha kwa vitendo MAENDELEO HAYANA VYAMA.
Sorry, wewe ni ccm? Nijibu niunganishe dot

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu kiukweli si kwamba Mwandosya alikuwa the best.
Argument mada hii ni kukisambaratisha chama CCM ili kumbomoa Mwandosya.
Thats a political crime.

Leo vijana wengi wamekimbilia kwa mpiga vijembe na mipasho, Sugu.

Tuna lament kwa vile CCM Taifa ya JK imetufikisha hapo.
Wewe ni mpu.mbavu tena mnyakyusa mji.nga wa mwisho.mbeya rais ni sugu. Take or leave. Mlete tulia kama atapata Kura hata 2

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wewe ni mpu.mbavu tena mnyakyusa mji.nga wa mwisho.mbeya rais ni sugu. Take or leave. Mlete tulia kama atapata Kura hata 2

Sent using Jamii Forums mobile app
Ndio zenu vijana wavuta bangi wa Sugu.
Hapa ni uwanda wa Great Thinkers , si barabara ya kuchomea matairi pale Mafiati Mwanjelwa.

Watu wenye akili kama Dr Tulia watairudisha CCM Mbeya tupate maendeleo baada ya hoja zilizoenda shule, siyo huyo mvuta bangi jiji limekuwa kama Tandale.
 
Mnajielewa au siyo ?

Kujielewa kwenu mnaishia kukaa nyumba za matope, kupanda mabasi ya Rungwe Express na Majinja.
Mkipata ajali mnakufa kama mbuzi wa kafara!

Kiwanja cha ndege Songwe , ndege mwazisikia tu.

Mkifika Dsm mnafikia Keko na Mbagala, ndo zenu.
Masikini kimawazo nyie, halafu mwasema mnajielewa.

Safirini Mwanza na Arusha muelewe vijana wenzenu wanafanya nini.
We ni NDESHE professional!!! Me Muhaya wewe
 
....... vipi kuhusu Mzee Mwakipesile hakuna lolote juu yao kuhusu kuunguka kwa C.C.M Mbeya
Mwakipesile, mkuu wa mkoa wa Mbeya wakati huo ndiye aliyekuwa kinara wa wanamtandao na akiongoza ile "Operation Ondoa Mwandosya Mbeya".

Alistaafu kwa aibu kama kibaraka kwa wana Mbeya.

Mpango wao kumpitisha uNEC Thomas Mwang'onda ulishindwa vibaya.
Katika Hitimisho la kitabu cha Prof Mwandosya, "Sauti ya Umma ni sauti ya demokrasia"
Pg 166 ninanukuu...

"Tarehe 24 Aprili 2007, katika ofisi ya Mkuu wa Mkoa Mbeya, kilifanyika kikao cha kampeni ya mmoja wa waliowania nafasi ujumbe wa Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi.
Taarifa kutoka ndani ya kikao hicho zinasema ajenda ya siku ile ilikuwa ni kujadili taarifa kutoka kwa Makatibu wa Wilaya wa CCM. Inaelelekea kikao kilifanyika awali kiliwaelekeza makatibu hao kufanya tathmini katika wilaya zao kuhusu uugwaji mkono wa wagombea wawili wa ujumbe wa Halmashauri Kuu ya Taifa kupitia Mkoa wa Mbeya, Bwana Tom Mwang'onda Chisanga , na Profesa Mark Mwandosya.
Taarifa iliyotolewa siku ile ilionyesha kwamba Bwana Tom Mwang'onda Chisanga, aliyefahamika kama "mwanamtandao", alikuwa HAUNGWI mkono katika wilaya zote isipokuwa Mbarali."


Mengine yatabaki kuwa historia, Mkuu wa Mkoa kuratibu mikakati ya wanamtandao.
 
Mwakipesile, mkuu wa mkoa wa Mbeya wakati huo ndiye aliyekuwa kinara wa wanamtandao na akiongoza ile "Operation Ondoa Mwandosya Mbeya".

Alistaafu kwa aibu kama kibaraka kwa wana Mbeya.

Mpango wao kumpitisha uNEC Thomas Mwang'onda ulishindwa vibaya.
Katika Hitimisho la kitabu cha Prof Mwandosya, "Sauti ya Umma ni sauti ya demokrasia"
Pg 166 ninanukuu...

"Tarehe 24 Aprili 2007, katika ofisi ya Mkuu wa Mkoa Mbeya, kilifanyika kikao cha kampeni ya mmoja wa waliowania nafasi ujumbe wa Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi.
Taarifa kutoka ndani ya kikao hicho zinasema ajenda ya siku ile ilikuwa ni kujadili taarifa kutoka kwa Makatibu wa Wilaya wa CCM. Inaelelekea kikao kilifanyika awali kiliwaelekeza makatibu hao kufanya tathmini katika wilaya zao kuhusu uugwaji mkono wa wagombea wawili wa ujumbe wa Halmashauri Kuu ya Taifa kupitia Mkoa wa Mbeya, Bwana Tom Mwang'onda Chisanga , na Profesa Mark Mwandosya.
Taarifa iliyotolewa siku ile ilionyesha kwamba Bwana Tom Mwang'onda Chisanga, aliyefahamika kama "mwanamtandao", alikuwa HAUNGWI mkono katika wilaya zote isipokuwa Mbarali."


Mengine yatabaki kuwa historia, Mkuu wa Mkoa kuratibu mikakati ya wanamtandao.
Nimekupata vizuri c.c POHAMBA
 
Back
Top Bottom