wa kupuliza
JF-Expert Member
- Jun 15, 2012
- 15,226
- 37,574
Ha ha ha!
Jamaa ni noma kwa uongo.
Nafikiri yuko ile Department ya Mis information na Fitna.
Hahah jamaa amepewa mpaka na kitabu cha Mwandosya cha 'Sauti ya Umma ni sauti ya Demokrasia~Mchakato wa Uchaguzi wa CCM Mkoa wa Mbeya, 2007" ila bado anabisha tu.
Hio department ya Mis Information ni balaa mkuu,hahah
Sent from my iPhone using JamiiForums