William J. Malecela
R I P
- Apr 27, 2006
- 26,588
- 10,374
- CCM Taifa finally, we are on the right track, the right message, the right people, and the right resolutions: toka Mkutano Mkuu wetu wa Nane majuzi Dodoma, tumefanikiwa kuondoa hoja zote za Wapinzani na wale mabingwa wa Makundi ndani ya CCM, sasa we need to maintain the steam mpaka 2014, itakapokuja the litimus test yaani Local elections!
- Kwenye local elections za majuzi pamoja na all the misery we had in CCM, lakini bado wananchi came out in a strong support for us CCM, sasa it is a high time CCM tukakaa chini na kutafakari tena how to move forward while maitaining the steam we have now, Wapinzani wapo shimoni sasa hivi hawana njia ya kutokea huko shimoni, we have burried them alive, CCM isafishe uchafu mdogo mdogo uliobaki ambao ni kero kubwa kwa wananchi, cha muhimu kuliko yote ni kuwasikiliza wananchi kwanza kama tulivyofanya majuzi huko Rukwa, Mawaziri wamezomewa mbele ya Viongozi wetu wakuu wa Taifa, saafi saana dawa ni kukaa chini na kuwapa onyo na ikibidi kuwapumzisha wote waliozomewa, tuwachane na siasa za kujuana na majina cause zinawakera wanachi, wanaokosea waondolewe haraka bila aibu!!
- Wapinzani hawana nguvu tena they once had, ambayo ilikuwa ni makosa yetu wenyewe CCM si kweli kwamba Wapinzani walikuwa strong, nah! ni mifarakano ya sisi CCM wenyewe kwa wenyewe ndio ilikuwa inawapa kifua lakini sasa hawana nguvu tena, huwezi kushinda Taifa kama huwezi kushinda Udiwani tu! ni Simply kwamba hukubaliki na wananchi kwenye local politics so huwezi kukubalika hata kwenye Taifa!!, viongozi wa CCM waendelee na hizi ziara na baadaye watuambie kwa kirefu Faida ya kila safari sio kupoteza pesa tu za chama, CCM tulilie uwajibikaji kwanza na tuwachane na vita vya makundi, tatizo sio vita honestly ni zile grudging baada ya uchaguzi kuisha so tujifunze kwamba kundi moja haliwezi kutawala peke yake ndio maana Mangula amerudi, uchaguzi ukiisha tujifunze kuwa inclussive kama Obama alivyompa Mpinzani wake mkubwa Mama Clinton na hata kumlipia madeni yake baada ya Vita yao kuisha!! tujifunze pia na sisi bongo siasa za ukomavu na kuweka taifa mbele!!
- HONGERA CCM, WE ARE ON THE RIGHT TRACK, SIASA ZA URAIS WA 2015 KAMA ZIKIFIKA MAHALI ZIKAANZA KUTUHARIBIA UMOJA WETU WAHUSIKA WOTE WAFUKUZWE CHAMA MARA MOJA WAKAANIZSHE CHAMA CHAO CHA KUGOMBEA URAIS 2015, WAPINZANI SASA HAWANA NGUVU WALA HOJA, UMEONA WANVYOHANGAIKA MARA OOHH CCM TUNAWAIGA, MARA OOOH TUNAFUATA SERA ZAO YAANI HOJA MFU NA SELF-DESTRUCTIVE BILA WENYEWE KUJUA MAANA KAMA CCM INAFUATA SREA ZENU BASI NI VYEMA MKAENDELEA KUWA WAPINZANI KUSUDI MUISAIDIE CCM!
- KIDUMU CCM!! KIDUMU CHAMA TAWALA!! KIDUMU CHAMA CHA DUME LA MBEGU!!
MUCH RESPECT PEOPLE!!
Le Mutuz
- Kwenye local elections za majuzi pamoja na all the misery we had in CCM, lakini bado wananchi came out in a strong support for us CCM, sasa it is a high time CCM tukakaa chini na kutafakari tena how to move forward while maitaining the steam we have now, Wapinzani wapo shimoni sasa hivi hawana njia ya kutokea huko shimoni, we have burried them alive, CCM isafishe uchafu mdogo mdogo uliobaki ambao ni kero kubwa kwa wananchi, cha muhimu kuliko yote ni kuwasikiliza wananchi kwanza kama tulivyofanya majuzi huko Rukwa, Mawaziri wamezomewa mbele ya Viongozi wetu wakuu wa Taifa, saafi saana dawa ni kukaa chini na kuwapa onyo na ikibidi kuwapumzisha wote waliozomewa, tuwachane na siasa za kujuana na majina cause zinawakera wanachi, wanaokosea waondolewe haraka bila aibu!!
- Wapinzani hawana nguvu tena they once had, ambayo ilikuwa ni makosa yetu wenyewe CCM si kweli kwamba Wapinzani walikuwa strong, nah! ni mifarakano ya sisi CCM wenyewe kwa wenyewe ndio ilikuwa inawapa kifua lakini sasa hawana nguvu tena, huwezi kushinda Taifa kama huwezi kushinda Udiwani tu! ni Simply kwamba hukubaliki na wananchi kwenye local politics so huwezi kukubalika hata kwenye Taifa!!, viongozi wa CCM waendelee na hizi ziara na baadaye watuambie kwa kirefu Faida ya kila safari sio kupoteza pesa tu za chama, CCM tulilie uwajibikaji kwanza na tuwachane na vita vya makundi, tatizo sio vita honestly ni zile grudging baada ya uchaguzi kuisha so tujifunze kwamba kundi moja haliwezi kutawala peke yake ndio maana Mangula amerudi, uchaguzi ukiisha tujifunze kuwa inclussive kama Obama alivyompa Mpinzani wake mkubwa Mama Clinton na hata kumlipia madeni yake baada ya Vita yao kuisha!! tujifunze pia na sisi bongo siasa za ukomavu na kuweka taifa mbele!!
- HONGERA CCM, WE ARE ON THE RIGHT TRACK, SIASA ZA URAIS WA 2015 KAMA ZIKIFIKA MAHALI ZIKAANZA KUTUHARIBIA UMOJA WETU WAHUSIKA WOTE WAFUKUZWE CHAMA MARA MOJA WAKAANIZSHE CHAMA CHAO CHA KUGOMBEA URAIS 2015, WAPINZANI SASA HAWANA NGUVU WALA HOJA, UMEONA WANVYOHANGAIKA MARA OOHH CCM TUNAWAIGA, MARA OOOH TUNAFUATA SERA ZAO YAANI HOJA MFU NA SELF-DESTRUCTIVE BILA WENYEWE KUJUA MAANA KAMA CCM INAFUATA SREA ZENU BASI NI VYEMA MKAENDELEA KUWA WAPINZANI KUSUDI MUISAIDIE CCM!
- KIDUMU CCM!! KIDUMU CHAMA TAWALA!! KIDUMU CHAMA CHA DUME LA MBEGU!!
MUCH RESPECT PEOPLE!!
Le Mutuz