Nicholas
JF-Expert Member
- Mar 7, 2006
- 25,261
- 7,195
Naona watanzania mnajisahau sana mkadhani CCM wapo civilized kihivyo..Just because wana prefixes..km prof,dr. mhesimiswa, etc...
CCM hadi leo hawajui mapinduzi km mapinduzi ya Kijani(Sasa wanayaita kilimo kwanza ) na OVethrowing..kwao yote ni mapinduzi.
CCM hawajastaarabika kabisa na kila mtu atawasikia wakipiga kelele za kuua watu,vyama ,wakifanya kila kitu ku derail kila chema kinachohaatarisha hai wao.Macc hawajui kitu kujisahihisha na kuja na kitu bora,maCCM hawajui kukubali kosa ili waanza maisha mapya.Maccm hawajawahi weza vumilia aibu ingawa kila siku wanaogelea ktk aibu.
Sasa hata wale magamba ambao bado kuna sense fulani ya kusikia na kuweza tafsiri kwa asilimia hata 10 waanze amka nakutumia hi akili finyu.CCM iambiwe no..wakiamua mwaga damu basi watu wengi wasimame hadi wanajesh nao wasem tupo wachache na hatuwezi ua nchi nzima.Kwani tukiua nchi nzima tutamtawala nani?
CCM hadi leo hawajui mapinduzi km mapinduzi ya Kijani(Sasa wanayaita kilimo kwanza ) na OVethrowing..kwao yote ni mapinduzi.
CCM hawajastaarabika kabisa na kila mtu atawasikia wakipiga kelele za kuua watu,vyama ,wakifanya kila kitu ku derail kila chema kinachohaatarisha hai wao.Macc hawajui kitu kujisahihisha na kuja na kitu bora,maCCM hawajui kukubali kosa ili waanza maisha mapya.Maccm hawajawahi weza vumilia aibu ingawa kila siku wanaogelea ktk aibu.
Sasa hata wale magamba ambao bado kuna sense fulani ya kusikia na kuweza tafsiri kwa asilimia hata 10 waanze amka nakutumia hi akili finyu.CCM iambiwe no..wakiamua mwaga damu basi watu wengi wasimame hadi wanajesh nao wasem tupo wachache na hatuwezi ua nchi nzima.Kwani tukiua nchi nzima tutamtawala nani?