MAHANJU
JF-Expert Member
- Aug 26, 2014
- 5,244
- 7,966
Mnalilia suala la kuchaguliwa kwa Mh Msigwa kuiongoza kanda ya Nyada za juu kusini kunawahusu nini? Mnataka kulazimisha wachaguliwe mnaowataka ninyi ili ya nyuma yajirudie sio? CHADEMA ni makini zaidi ya mjuavyo ninyi endeleeni kupotosha. Kamwe hutuwezi kuweka watu ambao mna maslahi nanyi, haiwezekani. Mkiona mtu aetenguliwa mjua kuna tatizo.
2015, kwenye kura za maoni kule DODOMA mbona ninyi wenyewe mlilia baadhi ya makubwa wenu kuingia na wagombea wao mifukoni? Hilo hamkuliona? Mbona aliyekubalika na wengi mlimkata? Kama ilikua ni kwa maslahi maana ya CCM basis na msigwa nae kachaguliwa kwa maslahi mapana ya chama tena kwa kura nyingi.
Mkiambiwa ninyi ni waongo na wasahaulifu mnasema kua wapinzani ni wakorofi,ya watu mnayadandiaje? Yanawahusu ninyi? Wenyeviti wangapi wa CCM wa mikoa wanabebwa bebwa tena tunaona kabisa. Mh Msigwa kapita kwa kura nyingi kuliko zilizomkataa.Mnakuza mambo hata kwa kitu kidogo ambacho hata kwenu hakini maslahi yeyote zaidi ya kupotea muda tu.
2015, kwenye kura za maoni kule DODOMA mbona ninyi wenyewe mlilia baadhi ya makubwa wenu kuingia na wagombea wao mifukoni? Hilo hamkuliona? Mbona aliyekubalika na wengi mlimkata? Kama ilikua ni kwa maslahi maana ya CCM basis na msigwa nae kachaguliwa kwa maslahi mapana ya chama tena kwa kura nyingi.
Mkiambiwa ninyi ni waongo na wasahaulifu mnasema kua wapinzani ni wakorofi,ya watu mnayadandiaje? Yanawahusu ninyi? Wenyeviti wangapi wa CCM wa mikoa wanabebwa bebwa tena tunaona kabisa. Mh Msigwa kapita kwa kura nyingi kuliko zilizomkataa.Mnakuza mambo hata kwa kitu kidogo ambacho hata kwenu hakini maslahi yeyote zaidi ya kupotea muda tu.