mkafrend
JF-Expert Member
- May 12, 2014
- 3,047
- 1,503
Wana JF, salaam,
Tuzungumze ukweli bila kula midomo, CCM kiukweli si chama cha kuanguka leo wala kesho. Sababu ni kama zifuatazo:
1. Ni chama chenye ukubalika mkubwa (wanyonge, na matajiri)
2. Ni chama ambacho kwa sasa kifanya mambo ambayo ni hitaji la watanzania (TASAF, Mfuko wa Vijana nk)
3. Ni chama kilichodhamiria kwa dhati kupambana na ufisadi na ukwepaji kodi (Serikali ya Rais Magufuli haina kashifa)
4. Ni chama ambacho kimeweza kusimamia rasilimali watu ili kutoa huduma sitahiki kwa wakati (Hospital, na ofisi zingine za umma hakuna ubabaishaji)
5. Ukusanyaji kodi na udhibiti matumizi ya serikali - kodi imepanda na matumizi mengineyo yamezungumzwa.
6. Udhaifu wa vyama vya upinzani nchini - vyama kukaribisha viongozi mafisadi na kuwapa madaraka (EL, FS)
7. Facts hizi zichunguzeni kisha muone kama mbio zenu ukawa hazitaishia ukingoni.
Msakila KABENDE
KIDUMU CHAMA CHA MAPINDUZI
MUNGU IBARIKI TANZANIA
Tuzungumze ukweli bila kula midomo, CCM kiukweli si chama cha kuanguka leo wala kesho. Sababu ni kama zifuatazo:
1. Ni chama chenye ukubalika mkubwa (wanyonge, na matajiri)
2. Ni chama ambacho kwa sasa kifanya mambo ambayo ni hitaji la watanzania (TASAF, Mfuko wa Vijana nk)
3. Ni chama kilichodhamiria kwa dhati kupambana na ufisadi na ukwepaji kodi (Serikali ya Rais Magufuli haina kashifa)
4. Ni chama ambacho kimeweza kusimamia rasilimali watu ili kutoa huduma sitahiki kwa wakati (Hospital, na ofisi zingine za umma hakuna ubabaishaji)
5. Ukusanyaji kodi na udhibiti matumizi ya serikali - kodi imepanda na matumizi mengineyo yamezungumzwa.
6. Udhaifu wa vyama vya upinzani nchini - vyama kukaribisha viongozi mafisadi na kuwapa madaraka (EL, FS)
7. Facts hizi zichunguzeni kisha muone kama mbio zenu ukawa hazitaishia ukingoni.
Msakila KABENDE
KIDUMU CHAMA CHA MAPINDUZI
MUNGU IBARIKI TANZANIA